Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ukweli ni kwamba muda wa regime hii ovu kuanguka haupo mbali.viongozi au watu walioshiriki kufanya maovu hakika wataadhibiwa baada ya hii regime ovu kuanguka na muda huo umeshafika. Regime mpya...
1 Reactions
1 Replies
141 Views
Thamani ya mauzo ya asali imeongezeka kutoka Sh bilioni 11.4 mwaka 2024 hadi kufikia Sh bilioni 19.2 mwaka 2025, ikiwa ni ongezeko la asilimia 68.4. Mafanikio hayo yanaendelea kuimarisha hadhi ya...
1 Reactions
3 Replies
114 Views
Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo ngazi ya Taifa, Othman Masoud Othman, Othman, leo Mei 16, 2026, jijini Dar es Salaam, akizungumza katika Mjadala wa Kitaifa kuhusu Mwelekeo na Khatima ya...
4 Reactions
13 Replies
450 Views
Msajili wa vyama vya siasa, Tekeleza majukumu yako bila shinikizo la kiumbe yoyote nchini au nje ya nchi, Kama CHADEMA inatahili kuadhibiwa kwakufutwa usajili, Basi tekeleza FUTA usisikilize...
1 Reactions
4 Replies
100 Views
Baada ya Zuio la kizushi la shughuli za Chadema kuangukia pua Mahakamani, Natangaza rasmi kuanza kwa Mikutano ya hadhara kwenye Jimbo la Kyela Hatuna muda wa kupoteza, Wananchi wameongopewa sana...
18 Reactions
44 Replies
745 Views
  • Redirect
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mfanyabiashara kutoka nchini Nigeria ambaye pia ni Mwanzilishi na Mmiliki wa Dangote Group, Alhaji...
0 Reactions
Replies
Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu, kwa kauli za Jaji Warioba ni dhahiri kwamba ameshapoteza hadhi ya ujaji ni vema akatangazwa kuwa siyo Jaji tena kwasababu kauli zake zinaondoa hadhi ya ujaji...
-2 Reactions
39 Replies
525 Views
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, akizungumza katika mahojiano na Bongo FM Mei 15, 2026, Msigwa alifafanua kuwa...
0 Reactions
17 Replies
368 Views
Wana JF, habari za weekend? Naleta mjadala huu mezani kama mwananchi nisiyefungamana na upande wowote wa kisiasa, lakini nikiwa na mapenzi mema na ya dhati kwa nchi yetu ya Tanzania. Kumekuwa na...
3 Reactions
2 Replies
184 Views
Umoja wa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini TAHLISO wameamuakupaza sauti na kusema #NeverAgain kwa machafuko na uharibifu. Kwa pamoja Tuipende, Tuitunze na Tuilinde nchi yetu.
0 Reactions
4 Replies
113 Views
Mbunge wa Wa Jimbo la Uyole, Mbeya Dkt Tulia Ackson amesema anaweza kuwawakilisha wananchi wake bila kuuliza maswali Bungeni, Tulia ameyasema hayo wakati akizungumza kwenye kipindi cha Jana na Leo...
0 Reactions
4 Replies
183 Views
UCHOCHEZI DEMOKRASIA > Barua ya Msajili yai vurugaa CHADEMA, makundi yaendelea Kukemea Siasa za Vurugu > Mafundi, wananchi wadai Tanzania haiwezi kuongozwa kwa maandamano ya taharuki > Waonya...
0 Reactions
3 Replies
111 Views
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, wakati wa mahojiano na Bongo FM Mei 15, 2026, amesisitiza kuwa Tanzania ni nchi...
1 Reactions
6 Replies
151 Views
CHADEMA WALIKOROGA - Heche, wenzake wakichimbia kaburi chama chao - Msajili wa Vyama vya Siasa awapa siku 14 za kukihami chama chao kisisimamishwe - Ni kwa kukiuka makusudi sheria ya vyama vya...
2 Reactions
11 Replies
249 Views
Leo Mei 16, Chama cha ACT Wazalendo inafanya mjadala wa Mjadala wa kitaifa kuhusu mwelekeo na khatima ya Tanzania, uliokusanya makada na viongozi wa chama hicho, wasomi, wanadiplomasia na...
0 Reactions
1 Replies
212 Views
Leo Mei 16, Chama cha ACT Wazalendo inafanya mjadala wa Mjadala wa kitaifa kuhusu mwelekeo na khatima ya Tanzania, uliokusanya makada na viongozi wa chama hicho, wasomi, wanadiplomasia na...
0 Reactions
0 Replies
119 Views
Ni CCM pekee kwa dhamira yake njema kwa taifa, utashi wa kisiasa wa viongozi wake, mipango mikakati yake ya maendeleo kwa wananchi na dhamira yake njema kwa waTanzania, ndio daima huunda serikali...
0 Reactions
15 Replies
199 Views
Kama wewe ni mfuatiloaji utagundua kwamba watu wa Kanda ya ziwa wamezalisha tabia ya ubaguzi wa kujion wao wanatengwa na kwamba wanastahili Haki zaidi kuliko Watanzania wengine. Wamekuwa...
2 Reactions
18 Replies
298 Views
DKT. MWINYI: SMZ KUJENGA NYUMBA 5,000 ZA MAKAZI UNGUJA NA PEMBA NDANI YA MIAKA MITANO Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein...
1 Reactions
1 Replies
164 Views
Nimeiona barua ya msajili akiitaka Chadema ijieleze kuhusiana na matamshi kadhaa iliyoyatamka baada ya kufunguliwa kufanya shughuri za siasa. Kujifanya kiranja wa vyama vya siasa na kufanya kazi...
8 Reactions
25 Replies
504 Views
Back
Top Bottom