Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tangu alipoingia hayati Samwel Sitta kushika Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kila Spika alishika kwa term moja tu. Sitta 2005 - 2010 Makinda 2010-2015 Ndugai 2015-2021 Tulia...
10 Reactions
69 Replies
3K Views
Waarabu ndio waliomfukuza mtume kutoka Makka na kumfanya akimbilie Madina. Waarabu ndio waliowatesa waliosilimu na kuwapa adhabu kubwa. Kwa hivyo asili ya waarabu wakipinga uislam. Kwa hivyo...
3 Reactions
11 Replies
288 Views
Miongoni mwa vitu vya ovyo kabisa hapa Tanzania ni uwepo wa mipango miji na wataalamu wa mipango miji. Hivi vitu havina faida yoyote hapa Tanzania na hapa napendekeza vifutwe haraka sana. Sihitaji...
2 Reactions
4 Replies
233 Views
Mpaka ninapoandika uzi huu, chama kilichoua Watanzania zaidi ya waliokufa kwenye vita ya Uganda hakina pa kujishika wala kuchutama. Kila mbinu inaenda kugonga ukuta. Sasa ameibuka Profesa...
9 Reactions
12 Replies
342 Views
Mbunge wa Kisarawe, Selemani Jafo, akizungumza Bungeni Februari 5, 2026, ameishauri Serikali kuvunja maeneo ya pembezoni mwa Jiji la Dar es Salaam, yakiwemo Buguruni, Vingunguti na Tandale, ili...
16 Reactions
113 Replies
2K Views
Cheche za maneno, mirengo mipya ya kisiasa na ubabe wa vyama tayari imeanza kusheheni nchini Kenya, miezi 14 tu kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Miongoni mwa viongozi wanaogonga vichwa vya...
1 Reactions
1 Replies
113 Views
Mkurugenzi Mtendaji wa PPPC David Kafulila amesema kuwa muwekezaji anaweza kupewa vivutio ikiwemo kuchangiwa mtaji endapo atawekeza kwenye ubia ikiwa ni pamoja na dhamana za...
5 Reactions
56 Replies
2K Views
Waziri wa zamani na kada wa CCM Profesa Anna Tibaijuka ameitabiria ushindi CHADEMA, akisema katika misukosuko inayopitia ikiwa pamoja na tishio la kufutwa, chama hicho kitashinda. Katika andiko...
13 Reactions
12 Replies
361 Views
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo limefanya uchaguzi wa kumchagua Spika wa Bunge la 13. Kikao hicho kinaendeshwa na Spika wa muda William Lukuvi, akisaidiwa na Katibu wa Bunge Baraka...
3 Reactions
41 Replies
2K Views
Eid Mubarik ndugu zangu kutoka pande zote Roma hadi Madina !! Quote of the Day " Never argue with stupid people they will drug you down to their level & beat you with experience" ~~Mark. Let's...
20 Reactions
27 Replies
853 Views
Inakuwaje unafanya uovu kwa makusudi kabisa ya mtu, mwananchi au kiongozi unamweka ndani unambambikia kesi za uongo unamweka gelezani kwa muda mrefu huku uchunguzi bado haujakamilika. Unaremote...
0 Reactions
0 Replies
55 Views
  • Featured
Wakili William Maduhu kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) bado kuna mashauri Mahakamani ya waliokamatwa kwa tuhuma za uhaini Oktoba 29, 2025 akidai Dar es Salaam mpaka sasa wamebaki...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavosema, kutumia bendera ya Tanganyika kama utambulisho wa upande mmoja wa Muungano, inaweza kuhesabiwa kama uchochezi? Na bendera za Tanganyika zilitupwa au kuchomwa?
6 Reactions
28 Replies
328 Views
Ni ajabu na kweli kwamba, eti hata kabla ya baraza hilo halijaketi kuhitimisha tafakari ya kipindi cha siku 40 za mfungo wa kwaresma2026, imebainika tayari kwamba, waraka wa baraza hilo...
3 Reactions
69 Replies
1K Views
Ni nani engineer wa huu ujinga? Zile Billion 2 hii ndio kazi yake? https://www.facebook.com/share/v/14bYdCSajNd/
7 Reactions
32 Replies
947 Views
Serikali: Dirisha la kupokea maombi ya mkopo kupitia program ya Shilingi Bilioni 200 limefunguliwa JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS — MAENDELEO YA VIJANA (OR—MV) TANGAZO RASMI LA...
2 Reactions
5 Replies
235 Views
Salaam Wakuu, Mnavyomuona Samia Suluhu wa huko Tunguu, ndivyo walivyo Wazanzibari na Waislam walio wengi.l hasa Wanawake. Upendo Samia anaoonesha kwa Watanganyika ndo upendo Wazanzibari hasa...
2 Reactions
30 Replies
275 Views
Tujivunie nini kama nchi na sisi kama wananchi ?Je tujivunie hawa viongozi ambao wamejipachika madarakani bila kuchaguliwa na wanachi...
6 Reactions
55 Replies
357 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…