Lissu anaendelea na mikutano yake Kama kawaida huku taifa letu likiwa na msiba mzito Sana.
Hii ni dharau na kukosa utu kabisa. Hatukutegemea Lissu kufanya jambo la ajabu kama hili. Kweli kabisa...
Ukifuatilia kwa makini mabadiliko ya Tabia nchi yamepiga hodi nchini mwetu. Lakini naona kama chama kilichoko madarakani hakina mkakati mahsusi wa kupambana na matokeo ya mabadiliko ya Tabia nchi...
Halima James Mdee alitoa hoja nzito sana na yenye mashiko kuhusu wizara ya kilimo kugawa ardhi na gharama ya kusafisha ekari kwa ml 16 .
Halima Mdee alikuwa anapinga kwamba ghaRama za kusafisha...
MBUNGE KUNTI MAJALA - NINI KAULI YA SERIKALI KUHUSU MAKATO YA TOZO NA MTANDAO KUTOKUFANYA KAZI VIZURI
Mhe. Kunti Majala Mbunge wa Viti Maalum amemuuliza swali Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano...
Nimeona nijitokeze kidogo na mimi kuandika machache kuhusiana na Kifo cha Bernard Membe , Mwanaccm aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Tanzania.
Ni hivi , kwa vile Mahakama ilishaamuru...
Wanabodi,
Walio ughaibuni wana msemo mmoja ambao nita unukuu kwa Kiingereza, "If you want anything done right, do it yourself". Uchambuzi mfupi wa msemo huu unaweza kuashiria mambo mengi lakini...
Ndugu zangu Watanzania,
Namshauri Mheshimiwa Mbowe achukue hatua za makusudi za kuudhibiti mdomo wa Lissu, maana kwa sasa umeshapoteza muelekeo na dira. Ndio sababu anaongea chochote kinachotua...
Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe amewashauri watu walioko mikoani kusitisha safari za kuja Dar es Salaam wakati wa ziara ya Rais wa Marekani, Barrack Obama kutokana na wingi wa...
Binafsi nitamkumbuka Membe kama mtu jasiri na mwenye kusimamia misimamo yake hadi kifo kilipo mchukua.
Ni mwana CCM pekee aliyewahi kuikosoa serikali yake na mwenyekiti wake bila uwoga wala...
My Take
Kama unadhani CCM itakuja kuacha wizi utakuwa unajidanganya sana. Wizi upo kwenye damu na kutapakaa kwenye mifupa.
Leo hii wakitenga miradi basi unakuta majamaa wamechachamaa kama manyigu.
“Niguse ninuke”
"Baba Askofu Emmaus Mwamakula!
Tumsifu Yesu Kristo!
Napenda nikushukuru sana kwa ujumbe mzito na wenye tija katika Taifa. Nikiri kwamba nami nimekuwa nakufuatilia sana kwa maoni...
Mh Rais, Mama Yetu mpendwa, Mama mnyenyekevu na msikivu Nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Bila kuchelewa, Ni maombi yangu kwako Kama Mtanzania, Naomba Umteue Bernard Camilus...
Kwa wale wakongwe wa Jamiiforums wananifahamu kuwa mimi ni mmoja wa watu tulikuwa nyuma ya aliyekuwa Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tano, Rais Magufuli tokea kwenye mchakato wa kumpata mgombea Urais...
Siasa ni Sayansi! Membe ameanza taratibu kurejesha umaarufu wake kwa kumshughulikia Musiba ambaye alikuwa kipenzi cha Shujaa Magufuli.
Kwa mbali nawaona CHADEMA wanamnyemelea kimtindo kwa...
Wadau Nawasabahi
Nimekuwa nasikia kuna Kundi linaitwa SUKUMA GANG je Kundi hili ni la kina NANI?Je lina Lengo gani Uwepo wake?Je Ofisi zao zipo Wapi?Je Kiongozi wao ni NANI?
Na kwanini liitwe...
Taarifa ya CAG ilionekana kukera viongozi wa juu wa serikali na nilijuwa kuwa hatua kali kwa wabadhilifu hadi sasa wangekuwa hawapo maofisini kumbe kilikuwa kiini macho cha kuonesha chukizo mbele...
Kama ni hivyo, basi ni bora Musiba aombe msamaha kwa Membe. Halijaharibika jambo. Lakini hivi inavyotokea sasa Membe anataka kufanya jambo ambalo haielekei kama litakuwa na faida yoyote kwake...
Mbunge wa Jimbo la Ngara - Kagera Ndaisaba George Ruhoro leo ameuliza swali Bungeni; Lini Bwawa la Kufua Umeme la Rusumo litawashwa ili kupunguza changamoto ya kukatika katika umeme inayotukabili"...