Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kaomba radhi i kupitia mtandao wa twitter akimjibu mdau mmoja aliemuhoji kuhusu kauli aliyowahi kuitoa kuwa atamuua mtu yoyote atakaeua twiga. Tweet yake ya kuomba radhi hii hapa chini...
1 Reactions
1 Replies
912 Views
Leo watoto walitakiwa waone kwenye luninga historia ya taifa lao. Lakini wewe na January mmekata umeme. Kwa nini msituonee huruma japo hata kwa leo tu siku ya uhuru. Watu wapo nyumbani...
0 Reactions
11 Replies
942 Views
Ukisikia mtu kupagawa ndio huku sasa! Walamba asali wamechachamaa baada ya jina pendwa la January makamba na Nape Nnauye walamba asali wakuu na walamba asali kwa ujumla kupigwa chini! Kwa Yale...
21 Reactions
46 Replies
6K Views
Tanganyika ipo wapi? Kuna umuhimu wa kusherekea uhuru wa nchi ambayo haipo kiuhalisia? Jambo la hekima tusherekee vinavyohusiana na Tanzania, vingine hivi vidogo vidogo ama ambavyo havipo vibaki...
0 Reactions
3 Replies
470 Views
Wengine jana wanesema watu wazuri hawafi, na wengine wamekuja na bango la aina hii. Sisi wengine kazi yetu ni kuonya na kushauri ni kisha kuhesabu siku tu. Kuna mtu alifananishwa na Mungu...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Leo ikiwa tunasherekea miaka 61 ya uhuru tunajivuni uhuru uliodumu kwa miaka 61 bila kuupoteza Tanzania ni nchi inayoongoza kwa kuwa na amani upendo na ushilikiano ukilinganisha na nchi zingine...
0 Reactions
2 Replies
455 Views
Nakumbuka wakati nachukua kadi ya Chadema 1992 nikiwa na Makamanda wenzangu mzee Mtei alisema Chadema ni chama ambacho hakitachoka Mzee Mtei akasisitiza kuwa muda utafika vyama vyote vitakuwa...
7 Reactions
29 Replies
1K Views
Team Samia Suluhu Hassan was not observed during general meeting kosa ni kuwa Chongolo umefeli kutengeneza team Mama kwenye huu uchaguzi sijui ulikua unafanya nini maybe you don't know your power...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Pamoja na kwamba Taifa la Norway lina kiwango kikubwa cha gesi linategemea kwa kiasi kikubwa umeme wa maji (Hydroelectric power) Kwenye suala la umeme uchaguzi wa kutumia umeme wa maji...
18 Reactions
89 Replies
9K Views
Huyu Mzee anaamini mwanaye January Makamba ni presidential material. Shida Mzee hajui kuchagua cha kuongea kwenye halaiki. Kwa kufanya hivyo anajikuta akimtengenezea mwanaye maadui yeye akijua...
7 Reactions
44 Replies
3K Views
Matukio mawili yaliyo jitokeza kwenye huo mkutano mkuu wenu yameonyesha wazee mastaafu aina ya Makamba hawapo ndani ya CCM kukusaidia bali kulinda maslahi yao na watoto wao kwa kutumia style za...
9 Reactions
13 Replies
1K Views
Nilicheka hadi nikafufuka upya wakati mjumbe wa Ethiopia alipokiita CCM chama cha mambuzi. hebu msikilize na wewe
13 Reactions
182 Replies
16K Views
Huyu kijana mwenye uhusiano mzuri na watumishi wa nyumba za ibada na na anyeng'aa kila wizara anayopelekwa je ndio afuataye? Moja ya vipimo vya mtu kujua kama anakubalika ama laa huwa ni...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Ni vyema tukubali kuwa kazi inaendelea. Miradi mikakati inakwenda vizuri. Mfano daraja la Wami limekamilika. Sgr kipande cha Dar Moro kipo tayari na na kitaleta mabadiliko ya maisha kwa wananchi...
2 Reactions
7 Replies
646 Views
Napenda nimpe moyo na nguvu ya kuendeleza kazi Rais Wetu mama Samia Suluhu,lakini pia naamini atakuwa amejifunza ndani ya siku hizi chache kuwa ni nani wazalendo wa kweli na ni nani ni chawa...
4 Reactions
41 Replies
3K Views
Mchungaji Lusekelo amesema haelewi Chanzo cha mvurugano wa Shehe wa Mkoa alhad Salum na Dr Mwaka ambaye ni mganga. Lusekelo amesema kimsingi Biblia imekataza Mkristo kuombewa na Mtu wa Dini...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa CCM Rais Samia amesema pamezuka nongwa za hapa na pale ndani ya Chama Tawala hivyo ni lazima tujirekebishe Kuna Wanaccm ambao wamekulia ndani ya Chama hawa hawawezi kukidhuru chama...
3 Reactions
46 Replies
4K Views
Hawa wawili Dr Bashiru Ally na Dr Wilson Mukama ndio makatibu wakuu wa CCM waliojaliwa PhD. Wengine akina Kawawa, Kolimba, Gama, Kinana, Makamba nk...nk ni wasomi wa kawaida siyo wabobezi labda...
5 Reactions
69 Replies
6K Views
Tuliosikiliza mistari ya Mwenyekiti na kumuelewa tumepata ujumbe wa kishujaa kwa miaka zaidi ya 100 ijayo. Tumepata fikra mpya yaani kuuendeleza Msingi na muhimili wa Taifa hili ambao ni Ujamaa na...
0 Reactions
0 Replies
466 Views
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Tulia Ackson amewataka vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) kutumia nafasi zao kubishana kwa hoja na kuendelea kudumisha amani ,umoja na...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…