Mama ameona shamba lake la matunda haliendi vizuri. Hivyo, anatarajia kukata miti yote isiyozaa matunda na kupanda miti mingine inayozaa matunda.
Kwa maoni yako unafikiri:-
1. Miti gani ikatwe...
KWA TAKWIMU HIZI ZA DENI LA TAIFA HAKIKA TUNAANGAMIA.
01. Awamu ya kwanza chini ya Mwl. Nyerere alieongoza kwa miaka zaidi ya miaka 20.
-Deni la Taifa lilipotoka mwaka 1979 mara tu baada ya vita...
CCM imekamilisha kupanga timu ya kusaka kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Mabadiliko ya watendaji serikalini yanatarajiwa kufanyika hivi punde kwa lengo hilo hilo la kuvutia kura za...
Juzi mzee makamba alitoa kauli yenye ukakasi ambayo ilisema "WAZURI HAWAFI" Hii kauli imeibua hoja tofauti kutoka wanachama wa CCM na wasio CCM . Ukizingatia kauli hii imetolewa na Kiongozi mkuu...
Unjani sabuwona
Kwa hali niliyoiona jana pale Dodoma kamwe ccm haiwezi kutokana madaraka kwa kutumia ballot box hawa watu wamejipanga kweli kweli kila kitu ni Chao.
Hapa nielewe sijamaanisha...
Watu walikuwa wanasema subiri Magufuli aondoke madarakani jamaa ata suffer sana. Anachukiwa hata na CCM wenzie.
Leo hii si kwamba Magufuli hayupo Madarakani. Ni kwamba hayupo kabisa Duniani. Na...
Shaka Hamdu Shaka ambaye ni Katibu wa Itikadi na Uenezi ametangaza kuwa uchaguzi wa Sekretariet ya CCM uliokuwa ufanyike leo umeahirishwa. Amedai uchaguzi huo utafanyika siku zijazo na pengine...
Nimeamini sasa tunahitaji mabadiliko makubwa sana.
Ebu fikiri, hawa ni wazee wanaotegemewa katika Taifa, lakini mambo yao ni ovyo kabisa.
1. Huyu anatuambia eti hakuna Mwana CCM au Mtanzania...
Salaam Wakuu,
Huyu Baba wetu wa Kiroho nimeanza kumkatia tamaa. Ana ahadi za Uongo. Alidai kanunua vichwa vya treni ya Mwendo kazi kwa Matumizi ya Tanzania, akadai ataleta bodi za Uvuvi na...
Rais Samia amesema CCM itaendeleza Vikao vya Maridhiano kwa vyama vyote vya siasa kwa mustakabali mwema wa siasa za nchi yetu
Hata hivyo Rais Samia amewataka viongozi wa Kisiasa kumkumbuka kuwa...
Au ndio tungeishia kuwa na kina "Kasavubu" na "Mobutu" wa kitanzania?
Wakati tukiadhimisha UHURU wa kitanzania,Vema pia kutafakari jitihada za wazee wetu.
Kwa jinsi walivyojitolea kwa hali na...
Kipindi cha Magufuli wapinzani waliweweseka sana kwasababu asillimia kubwa ya wananchi walikuwa wanamkubali, ukiachilia mbali hawa wananchi waliopo mitandaoni, walijua kabisa pale mziki ulkuwa...
Wazuri Maliasili mstaafu Dr Kigwangala amewataka viongozi kuwa waangalifu kwani Neno likishatoka mdomoni halirudi
Kigwa anasema alipokuwa waziiri wa Maliasili alilipuka mara mbili na...
Habari za Asubuhi wana Jamii!
Ni matumaini yangu, Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema katuamsha salama, na kwa wale wenzetu wana changamoto za afya tunawaombea wapone haraka na warudi kwenye majukumu...
Ng'hulima Ilanga na Kitala Kikaja , walikuwa ni miongoni mwa mamia ya viongozi wa CHADEMA waliobambikwa kesi za uongo na kufungwa jela na ile serikali ya kikatili ya awamu ya 5 , baada ya Rufaa...
Wakili wa CHADEMA, Peter Kibatala safari hii amesababisha kesi ya wabunge 19 wa CHADEMA kuahirishwa hadi mwezi wa 3 mwaka 2023.
=====
Mahakama Kuu imeahirisha kesi iliyofunguliwa na wabunge 19...
Naam maneno haya kwa wenye akili wataona jambo. Mbona ni kama kuna mkakati wa kumlundikia safari Rais hata asipate muda wa kutosha kukaa ofisini na kujadili issues deeply na wataalamu au kusikia...
Ni kweli kabisa hasa kwa wanasiasa wawapo majukwaani, wakiwa wamepandwa na midadi au mihemko (emotions), ulimi wakati fulani huweza kutereza na kusema mambo ambayo hawakukusudia.
Jana Mzee...
Mzee wangu, kuomba radhi unapokuwa umeteleza kidogo ni uungwana. Toka hadharani uombe radhi wewe mwenyewe kwa kinywa chako kabla mambo hayajaharibika kabisa.
Kuuambia umma kwamba Viongozi wazuri...