Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi mkoa wa Dar es salaam, Khadija Ally Said amekataa tabia ya makada wa chama hicho kumsifu hovyo (uchawa), huku akiwataka wafanye kazi kwa ushirikiano bila kujiona...
Africa ina dharaulika sana sijui kwa nini na mbaya zaidi hata viongozi wao kujitambua ni swala gumu sana, yaaami akili za Viongozi wa Kiafrica zinafanana, wote wana akili sawa.
Si bure huwa...
Rais Samia amesema amri ya kuchoma vifaranga 6400 vilivyoingizwa kutoka Kenya miaka mitano iliyopita ilikuwa sio sawa.
Rais Samia kasema hawakushulikia vizuri uingizaji ule wa vifaranga maana pia...
Sheria kuhusiana na mikutano inavitaka vyama vya siasa kutoa taarifa polisi, siyo kuomba ruhusa.
Kuwaendekeza hawa ndugu tutajikuta mwana si wetu.
Kuheshimu sheria hakuwezi kuwa jambo la...
Tanzania inaungana na mataifa mengine katika kuazimisha siku hii ambayo itakuwa ni mara ya pili kwa Rais Samia Hassan kuwahutubia wafanyakazi baada ya kushika wadhifa huo.
Rais Samia atakuwa...
Katika watu ambao ni hasara na hatari kuwatetea basi ni Watanzania, bora hata kutetea mbwa au paka ila sio kutetea Watanzania, ni vigumu sana kutetea watu wasio jitetea na sasa tunaaminishana mtu...
Huku Kinana, Hamdu Shaka na Chongolo wakiendelea na mikutano ya hadhara nchi nzima, leo viongozi wa Chadema huko Mwanza wamekamatwa wakiwa kwenye maandalizi ya Mkutano halali wa hadhara, kwa nia...
Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert John Chalamila umemsikia live Mstaafu Kikwete akikuita muongo kwa kauli yako kuhusu Mawaziri kuacha majukumu ya kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhangaika...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:
Amemteua Dkt. Hashil Twaib Abdallah kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara. Kabla...
Busara ni kitu cha bure.
Na kwa kawaida mtu akiwa mzee, kama alivyo Yusufu Makamba, inategemewa na jamii zote duniani kuwa atakuwa anaongea mambo ya busara na yenye maonyo, yatokanayo na uzoefu...
Kupigania katiba nyingine ni kulenga kuleta mabadiliko kamili ya mfumo wa utawala.
Jukumu hili ni gumu na zito kuliko kumfurusha mkoloni mlowezi halisi.
Kwa hakika hawakukosea PAC, SA na...
HAKI NA WAJIBU
Katiba na sheria vinatoa haki na kila upande yaani raia na dola wana wajibu wa kufana ili sheria itekelezeke.
Rais anamsema mtangulizi wake kuhusu utawala wa mabavu na vitisho...
Siasa za Tanzania zina mambo, hivi siku hizi mnajua barua za uteuzi wanakadiria tumelala ndiyo inarushwa hewani.
Vipi Ukakutana na barua siku moja kwamba uteuzi wa Mheshimiwa Mbowe ameteuliwa...
Marais wote wa Tanzania, nyakati zote, wamefanana kwa jambo moja kubwa, KUDIDIMIZA NA KUUA DEMOKRASIA.
Wakati wa mkoloni, kulikuwa na vyama vingi vya kisiasa. Mwingereza, pamoja na kwamba alikuwa...
Huyu bwana hajamaliza hata mwezi kazini tayari anashambulia wanasiasa.
Prof.Assad amehojiwa na idhaa ya Kiswahili ya UN, na kutoa madai kwamba Tanzania kuna tatizo la "POLITICAL...
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu amesema yeye anasimama na Mwenyekiti Mbowe kwa suala la Maridhiano kwa sababu yakiitishwa maandamano muitikio wa Wananchi ni mdogo sana...
Ninaweka mtazamo wenye mjadala ndani yake. Ninawaomba wananzengo msiugeuze mjadala kuwa eneo la dhihaka bali tuliangalie hili jambo kwa macho mawili.
Baba wa Taifa pamoja na kuwa busy sana kuliko...
Kwa mara nyingine tena napata wasi wasi mkubwa juu ya ubora wa UDOM.
Wiki hii sasa wanafunzi wengi wa chuo hiki wanahangaika kuthibitisha kwamba wanastahili kuhitimu mwaka huu yaani mwezi huu...