Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,315
- 24,177
Busara ni kitu cha bure.
Na kwa kawaida mtu akiwa mzee, kama alivyo Yusufu Makamba, inategemewa na jamii zote duniani kuwa atakuwa anaongea mambo ya busara na yenye maonyo, yatokanayo na uzoefu mkubwa kimaisha.
Mimi ni mwana CCM, kada, ila sijapenda rap rap ya Makamba.
Maneno ya mzee Yusufu Makamba yanakosa mizania ya busara.
Ati watu wazuri hawafi, ndio maana Kinana yupo na Kikwete yupo!
That is rubbish by all means.
Tunashukuru mama Samia alilisahihisha hilo kabla ya mkutano kumalizika
CCM wajifunze kuwa kuna wazee ndani ya CCM hawana busara ya kutosha, mmoja wao ni Yusufu Makamba, Luteni mstaafu.
Miaka ya nyuma niliwahi kuandika kuwa CCM inaweza kufa, chini ya aliyekuwa Katibu Mkuu wakati huo, Yusufu Makamba.
Kabla ya kuongea na kadamnasi hadharani maneno ya Makamba hayana budi kupimwa mapema.
Na kwa kawaida mtu akiwa mzee, kama alivyo Yusufu Makamba, inategemewa na jamii zote duniani kuwa atakuwa anaongea mambo ya busara na yenye maonyo, yatokanayo na uzoefu mkubwa kimaisha.
Mimi ni mwana CCM, kada, ila sijapenda rap rap ya Makamba.
Maneno ya mzee Yusufu Makamba yanakosa mizania ya busara.
Ati watu wazuri hawafi, ndio maana Kinana yupo na Kikwete yupo!
That is rubbish by all means.
Tunashukuru mama Samia alilisahihisha hilo kabla ya mkutano kumalizika
CCM wajifunze kuwa kuna wazee ndani ya CCM hawana busara ya kutosha, mmoja wao ni Yusufu Makamba, Luteni mstaafu.
Miaka ya nyuma niliwahi kuandika kuwa CCM inaweza kufa, chini ya aliyekuwa Katibu Mkuu wakati huo, Yusufu Makamba.
Kabla ya kuongea na kadamnasi hadharani maneno ya Makamba hayana budi kupimwa mapema.