Bajeti ya maji yapanda hadi Tsh. Trilioni 1.12

Bajeti ya maji yapanda hadi Tsh. Trilioni 1.12

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
572
Reaction score
535
ONGEZEKO LA BAJETI YA WIZARA YA MAJI
IMG-20260507-WA0068.jpg


Serikali ya Awamu ya Sita imeendelea kuipa kipaumbele sekta ya maji kwa kuongeza bajeti ya Wizara ya Maji kutoka Shilingi bilioni 898.28 mwaka 2025/2026 hadi kufikia Shilingi trilioni 1.12 mwaka 2026/2027, hatua inayolenga kuimarisha upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama kwa wananchi pamoja na kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maji nchini.
 
Back
Top Bottom