Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wote tusali kwa pamoja kadri ya maandishi kwenye picha hapa chini na wimbo wake. Mods niwekee hiyo clop vema
3 Reactions
4 Replies
143 Views
Ni muda mrefu huyu kijana hajaonekana au kusikika, nini kimempata? Au ameshamaliza kazi yake?
0 Reactions
6 Replies
250 Views
Rais wa Kenya Wiliam Ruto amesema hatumlazimishi Mwekezaji Dangote mahala pa kuwekeza bado mpango wetu ni kuwekeza Tanga. BBC news
1 Reactions
9 Replies
211 Views
Kumbe hata Afrika wapo watu wenye mitazamo ya ki-MAGA, kama ile ya Rais Donald Trump 🤣. Huyo mdada ukimsikiliza hoja zake dhidi ya huo uhamiaji haramu, unaweza kudhani naye ni MAGA, lakini kumbe...
6 Reactions
8 Replies
915 Views
Na Nulphin Charles, Katibu Mstaafu CHADEMA Serengeti Uganda ilifanya uchaguzi na leo hii wamefanya sherehe za uapisho na hakuna kampeni yoyote inaendeshwa mitandaoni kuhoji uhalali wa uchaguzi...
0 Reactions
8 Replies
297 Views
Kwa kule ninakotoka watu husimamia misimamo ya UKWELI NA UWAZI. Huyu ndugu yetu Jaji Mwambegele katushushia heshima watu wa Mbeya-Tukuyu. Nakubaliana na Jaji Warioba, Jaji Mwambegele kajivunia...
11 Reactions
30 Replies
499 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kuuarifu umma kuwa kesho Jumatano, tarehe 13 Mei 2026 Chama kitakuwa na mashauri mawili Mahakama kuu ya Tanzania, masijala ya Dar es salaam...
2 Reactions
5 Replies
219 Views
Wakuu, Hebu naomba tushirikishane. Mchengerwa alishindwa nini kwenda kununua mkoba wa 200k akaenda kununua mkoba Loui Vutton? Huu mkoba kama kweli ni wa Loui Vutton maana yake ni Milioni 10...
8 Reactions
41 Replies
821 Views
KENYA KAMA “TROJAN HORSE”? VITA VYA DATA, TABIANCHI NA UTAWALA MPYA WA KIDIJITALI AFRIKA MASHARIKI Katika karne ya 21, vita havitangazwi tena kwa mizinga pekee. Havianzi kwa ndege za kivita wala...
5 Reactions
14 Replies
597 Views
Jumuiya ya wanafunzi wa Chadema (CHASO) kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, imewajia juu wasomi nchini kwa kile walichokiita "uchawa wa wasomi," wakidai kuwa hali hiyo inaliangamiza taifa...
1 Reactions
2 Replies
123 Views
Ikishangaa ya mafuta utaona ya Gesi asilia. Tayari kashaigawa gesi yetu yote ya Kusini. Nna Makubaliano ni kwamba Tanzania itapewa Mgawo wa asilimia 3 tu ye Gesi yote itakayo kwa matumizi ya...
1 Reactions
7 Replies
367 Views
MHE. GHATI CHOMETE AOMBA SERIKALI KUPELEKA FEDHA TAKRIBANI BILLIONI 18 KUKAMILISHA MIRADI YA AFYA HOSPITALI YA RUFAA YA MWL.NYERERE (KWANGWA), MKOANI MARA Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara Mhe...
0 Reactions
0 Replies
93 Views
MKUTANO WA MAALUM (KIKAO CHA 3) WA BUNGE LA TANO LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI (EALA) TAREHE 16 MACHI 2026 Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) limemuapisha Waziri wa Mambo ya Nje na...
1 Reactions
3 Replies
284 Views
JajiJoseph Sinde Warioba, waziri mkuu mstaafu amesema maisha yake yako hatarini. Anatishiwa kuuawa, lakini hana cha kuogopa. "Kuna watu wengi sana wanaoniletea ujumbe, kwamba mzee angalia...
28 Reactions
67 Replies
3K Views
Viongozi wa Afrika, jitahidini kuwa na majasusi wa kimkakati. Kuna ukoloni mamboleo unaorejea barani Afrika, ambapo baadhi ya viongozi wa ndani watatumika kuwasaliti na 'kuwauza' viongozi wenzao...
0 Reactions
0 Replies
91 Views
Tutoke kwa umoja wetu kusifia Chama chetu. Maana huyu mzee anazidi kutuzonga na yaliyotokea 29 Oktoba na tume.
1 Reactions
7 Replies
281 Views
"Leo tuna miaka 60 tukiitwa Tanzania, ndiyo maana tuna rais ambaye ni mzanzibari, siyo mtanganyika. Anaweza kwenda ngorongoro akatoa amri kwa wanajeshi hawa, akasema fukuza wamasai wote ngorongoro...
27 Reactions
174 Replies
10K Views
SWALI ni hilo hapo juu. Maana chungu kimeishiwa kabisa , sana sana uchaguzi ni hao wawili
0 Reactions
2 Replies
115 Views
  • Redirect
Na George Michael Uledi Mei 11, 2026 Hivi karibuni, Rais William Ruto wa Kenya alitoa kauli iliyozua mjadala mzito baada ya kutangaza kuwa ujenzi wa kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta ghafi cha...
0 Reactions
Replies
Views
Muwe na Usiku mwema.
1 Reactions
1 Replies
91 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…