Maandamano dhidi ya uhamiaji haramu huko Afrika Kusini!

Maandamano dhidi ya uhamiaji haramu huko Afrika Kusini!

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
98,016
Reaction score
142,854
Kumbe hata Afrika wapo watu wenye mitazamo ya ki-MAGA, kama ile ya Rais Donald Trump 🤣.

Huyo mdada ukimsikiliza hoja zake dhidi ya huo uhamiaji haramu, unaweza kudhani naye ni MAGA, lakini kumbe wapi!

Yeye ni Mwafrika Kusini aliyechoshwa na uhamiaji haramu nchini humo.

Halafu kuna hii hoja ya kwamba nchi za Kiafrika ziliwasaidia baadhi ya Waafrika Kusini kipindi wanapigania Uhuru wao kutoka kwa makaburu, hivyo, na wao sasa waukumbuke wema huo waliotendewa na Waafrika wenzao na waache kuwafukuza hao wahamiaji haramu watokao kwenye nchi za Kiafrika.

Hiyo hoja ni mufilisi na iliyopitwa na wakati.


View: https://youtu.be/Lom_q28LVXs?si=AKVQchHJ_QfhnbMU
 
Serikali ya south africa ni dhaifu sana huwezi open your borders kila mtu aingie bila utaratibu
 
Hali SA ni mbaya sana, inahitaji control ya haraka sana
 
12 May 2026
Iringa, Tanzanoa

CLASSIC BUS PLYING ROUTE BETWEEN JO'BURG AND DAR ES SALAAM TANZANIA INVOLVED IN A SERIOUS ROAD ACCIDENT


View: https://m.youtube.com/watch?v=d_ElyaYn_wQ
Classic coach Passenger Elias Sinkala from Lusaka Zambia narrates what he saw after awaking from a sleep after the accident that happened in Iringa region of Tanzania enroute to Dar es Salaam. The Classic coach was involved in a head on road accident with trailer lorry and the coach passenger found themselves in a ditch
 
Back
Top Bottom