and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,231
- 39,715
Tutoke kwa umoja wetu kusifia Chama chetu. Maana huyu mzee anazidi kutuzonga na yaliyotokea 29 Oktoba na tume.
Kwani kwenu hamna waee,ama ndiyo adabu mliyofuzwa hapo kwenuTutoke kwa umoja wetu kusifia Chama chetu. Maana huyu mzee anazidi kutuzonga na yaliyotokea 29 Oktoba na tume.
NaamKwa akili za uvccm, subiri maelekezo na posho zitoke watamshukia bila aibu
Hakuna means ccm yeyote au hatatokea akaongea aliyoongea mzee J.S. WariobaTutoke kwa umoja wetu kusifia Chama chetu. Maana huyu mzee anazidi kutuzonga na yaliyotokea 29 Oktoba na tume.
Pewa mbinu na Mweshimiwa Waziri jinsi alivyomzonga wakati wa Bunge la KatibaTutoke kwa umoja wetu kusifia Chama chetu. Maana huyu mzee anazidi kutuzonga na yaliyotokea 29 Oktoba na tume.