Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

AFRIKA YAHIMIZWA KUJENGA MUSTAKABALI SALAMA KWA WATOTO. Mke wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bi. Neema Mwigulu Nchemba, ametoa wito kwa viongozi na wadau wa Afrika kuweka...
2 Reactions
2 Replies
125 Views
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na Rais wa Kenya Dkt. William Ruto wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Ushirikiano kati ya Afrika na Ufaransa (Africa Forward Summit...
0 Reactions
0 Replies
141 Views
VIONGOZI WA AFRIKA NA UFARANSA WAJADILI UWEKEZAJI NA MAENDELEO ▪️Dkt. Mwigulu asisitiza matumizi sahihi ya rasilimali ili kujenga uchumi wa Afrika ▪️Rais Macron atangaza uwekezaji wa dola...
0 Reactions
0 Replies
254 Views
October 29 haitasahaulika mioyoni mwetu kabisa, natoa wito Gen Z wotee tujiunge ili tujiandae na kujilinda dhidi ya CCM na Jeshi la Polisi pindi watakapo taka kuua tena ndug zetu ili wahalalishe...
2 Reactions
4 Replies
175 Views
Mwerevu anapovuliwa nguo hakimbii hovyo, kupiga kelele, au kugombana na aliyefichua uchi wake huku akiendelea kuonyesha aibu yake kwa watu wengi zaidi; Mwerevu akivuliwa nguo hachanui miguu yake...
7 Reactions
26 Replies
448 Views
Nchi hì hata kama utakuwa na moyo wa kulipa kodi na mapato kwa hiyari bado utakumbana na changamoto tu za kukufanya uachane na mpango huo, ukitaka kulipia leseni za sanaa na saloon unalazimika...
4 Reactions
7 Replies
140 Views
  • Redirect
Katibu wa Siasa na Uenezi CCM, Wilaya ya Njombe, Hitler Msolla amesema hayo Mei 12, 2026 wakati wa ziara ya kikazi katika Kata ya Mjimwema, alipokuwa akizungumza na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi...
0 Reactions
Replies
Views
Mfanyabiashara tajiri zaidi barani Afrika, Aliko Dangote, ametangaza nia yake ya kuwekeza nchini Kenya kwa kujenga kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta (oil refinery) chenye uwezo wa kuchakata...
22 Reactions
146 Replies
4K Views
Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara, amehoji sababu za wazazi wa wabunge kutojumuishwa katika huduma za bima ya afya wanazopata wabunge, huku akielezea changamoto kubwa wanazopata familia...
0 Reactions
15 Replies
359 Views
Watanzania wenye uzalendo wa kweli tunapenda kuona nchi yetu ikiendelea kwa amani mshikamano na heshima kwa viongozi wetu. Ndiyo maana tunapaswa kukemea kauli za uchochezi matusi na maneno...
1 Reactions
3 Replies
127 Views
  • Featured
Ripoti mpya ya mwaka 2026 kutoka shirika la kimataifa la Reporters Without Borders (RSF) imetoa takwimu za zinazoonyesha kudorora kwa kiwango cha uhuru wa habari nchini Tanzania, huku nchi hiyo...
5 Reactions
24 Replies
947 Views
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Ngwaru Jumanne Maghembe, ameeleza mafanikio ya serikali katika kutafuta fursa za ajira kwa vijana wa Kitanzania kwenye mataifa...
1 Reactions
1 Replies
106 Views
Kulingana na huyu kada wa CHADEMA, Dayon Monsoh ambaye ni kuwa mwanaharakati mwenzao aitwaye NURUVAZI anatafuna michango inayochangwa na baadhi ya watanzania wenzetu wasiojitambua. Kwa sasa kuna...
1 Reactions
13 Replies
260 Views
  • Redirect
HUYU AMBAYE ETI KWA SASA ANAJIFANYA KUJUA SHERIA ZA UTETEZI,KUMBE NAYE WAKATI WAKE ALIKUWA MNYAMA KABISA, KWELI SHETANI AKIZEEKA ANAGEUKA MALAIKA!..... wakati huo kulikuwa na sheria za kizuizini...
0 Reactions
Replies
Views
Ndugu zangu Watanzania, Itoshe kusema ya kuwa usishindane na alipewa Kibali na Mungu , usishindane na Aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu , usishindane na aliyebarikiwa na Mungu. Rais Samia ni...
1 Reactions
23 Replies
448 Views
Haya ni maoni na ushauri wangu wa Bure kwa TRA, naomba niwaahauri waweze kuanzisha program Maalum ya Certified Tax Educator (CTE), hii inatokana na Kwamba kwa sasa Watanzania wengi hawana Elimu ya...
1 Reactions
4 Replies
778 Views
TANZANIA KUKATAA “JOINT VENTURE REFINERY” NA KENYA: UAMUZI WA KIMKAKATI AU KUJILINDA KIUCHUMI? Katika siasa za kimataifa, hakuna urafiki wa kudumu — kuna maslahi ya kudumu. Ndiyo maana mataifa...
0 Reactions
18 Replies
498 Views
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aua ndege wawili kwa jiwe moja. ◇Kazi zake katika utalii zaanza kuneemesha sekta zingine ◇Ndege Ulaya kuleta watalii moja kwa moja kuja Tanzania ◇Matunda, mboga...
1 Reactions
0 Replies
79 Views
Tume ya Uchunguzi ilibaini kuwa ghasia zilizotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 zilisababisha hasara kubwa ya kiuchumi. Uharibifu wa mali, biashara na miundombinu ulisababisha...
0 Reactions
0 Replies
109 Views
Back
Top Bottom