Haya ni maoni na ushauri wangu wa Bure kwa TRA, naomba niwaahauri waweze kuanzisha program Maalum ya Certified Tax Educator (CTE), hii inatokana na Kwamba kwa sasa Watanzania wengi hawana Elimu ya kutosha kuhusiana na masuala ya kodi.
Tukio halisi ni la hivi karibuni lililotokea Dar es Salaam, ambapo wananchi wawili walifikishwa Mahakamani kwa kushindwa kutoa risiti ya EFD kwa wateja waliowahudumia kwa kutoa ya huduma ya kuuza Chipsi ambapo washitakiwa hapo wametakiwa kulipa Faini ya takribani ya kiasi cha Milioni 6 ( Milioni 4 na Milioni 2).
Hii Ina maanisha Kwamba Kuna haja ya haraka Sana Kwa TRA kuweza kuanzisha hii Program kwa kuandaa mtaala utakaosaodia wananchi kupewa elimu kuhusu Kodi.
My Take:
Kulipa Kodi ni jambo la uzalendo wa Kila Mtanzania, na watanzania wanatakiwa kuona Fahari kulipa Kodi kwa Serikali yao, lakini Kodi inayokusanywa inapotumika vibaya kama tunavyosoma ripoti za CAG na kama ununuzi wa Magari ya ya kifahari ya Milioni 600 kwa Wakuu wa Mikoa, na hao hao Wakuu wa Mikoa wanapokuwa wanaenda kukagua Shule na Hospitali wanakuta Shule na Hospitali hazina Madawati na Hospitali hazina Sawa...lakini gari alilokuja nalo Milioni 600. Hivi haya ni matumizi mazuri ya Kodi inayolipwa na wananchi???
Tukio halisi ni la hivi karibuni lililotokea Dar es Salaam, ambapo wananchi wawili walifikishwa Mahakamani kwa kushindwa kutoa risiti ya EFD kwa wateja waliowahudumia kwa kutoa ya huduma ya kuuza Chipsi ambapo washitakiwa hapo wametakiwa kulipa Faini ya takribani ya kiasi cha Milioni 6 ( Milioni 4 na Milioni 2).
Hii Ina maanisha Kwamba Kuna haja ya haraka Sana Kwa TRA kuweza kuanzisha hii Program kwa kuandaa mtaala utakaosaodia wananchi kupewa elimu kuhusu Kodi.
My Take:
Kulipa Kodi ni jambo la uzalendo wa Kila Mtanzania, na watanzania wanatakiwa kuona Fahari kulipa Kodi kwa Serikali yao, lakini Kodi inayokusanywa inapotumika vibaya kama tunavyosoma ripoti za CAG na kama ununuzi wa Magari ya ya kifahari ya Milioni 600 kwa Wakuu wa Mikoa, na hao hao Wakuu wa Mikoa wanapokuwa wanaenda kukagua Shule na Hospitali wanakuta Shule na Hospitali hazina Madawati na Hospitali hazina Sawa...lakini gari alilokuja nalo Milioni 600. Hivi haya ni matumizi mazuri ya Kodi inayolipwa na wananchi???