Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Sijui ni wangapi wamewahi kukumbana na na matatizo ya vodabima. Kwa uzoefu wangu, mara tatu imetokea unalipa bima ya gari kupittia vodabima. Unapata ujumbe kuonesha pesa imetoka kulipia bima ya...
4 Reactions
11 Replies
299 Views
Mbali na Al Jazeera kupigwa pini kwenye visimbuzi Tanzania, jamaa wameona haitoshi wakaenda block na website yao! Sasa hivi tovuti hiyo haipatikani Tanzania mpaka utumie VPN. Jinsi inavyokuwa...
14 Reactions
69 Replies
2K Views
BALOZI MATINYI AWASILI ALGERIA Balozi Mobhare Matinyi amewasili jijini Algiers, Jumanne, tarehe 19 Mei, 2026, tayari kuanza majukumu ya kuiwakilisha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Jamhuri...
1 Reactions
5 Replies
160 Views
Mh Rais lini utakuja MKOANI Kilimanjaro na Arusha kutushukuru walio kuchangua October 29?
0 Reactions
5 Replies
147 Views
Nadhani wameanza tena chokochoko dhidi ya CHADEMA Imetokea ktk mji mdogo wa Isaka katika Jimbo la Msalala wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga Walikuwa on the way baada ya mkutano mkubwa mjini...
3 Reactions
24 Replies
536 Views
Kwanini tume za Samia za uchunguzi wa ghasia za uchaguzi mwaka 2025 zinaongozwa na Waislamu? Je, Waislamu wana agenda ya kuangamiza Wakristo? Kila aliyetekwa ni Mkiristo, then tume zinaundwa za...
7 Reactions
40 Replies
807 Views
"Ugonjwa mkubwa wa Afrika ni mfumowa vyama vingi. Afrika, amkeni ondoeni mfumo wa vyama vingi, mtamalizana wenyewe kwa wenyewe kupambania ndoto za watu binafsi sio taifa." - Alloyce, P.R
1 Reactions
13 Replies
278 Views
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, leo tarehe 15 Mei 2026 amewasili mkoani Mara kwa shughuli za Kikazi. Pamoja na mambo mengine Mhe. Makamu wa...
1 Reactions
5 Replies
258 Views
Habari za Sabato! 1. Ndugu Watanzania nichukue nafasi hii Kwa sehemu yangu kama raia wa Nchi hii kama mlivyo nyie. Kuzungumza machache kama sehemu ya maoni na mchango wangu. 2. Binafsi nipo...
23 Reactions
176 Replies
5K Views
PPPC Yamtunuku Mwanaid Araba Tuzo ya Mfanyakazi Hodari 2025|2026 == Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) kimempongeza Mwanaid Araba, Afisa Mwandamizi Msimamizi wa Fedha...
9 Reactions
49 Replies
1K Views
Akihojiwa kwenye podcast ya Omari Kashera/Salma Dakota amedai hivyo. "Ukimpima nyani kwa kigezo cha kupanda miti, utadhani kobe ni mzembe na nyani ni genius."
7 Reactions
55 Replies
1K Views
Dar es Salaam. Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Prof Yunus Mgaya amesema hofu ya wananchi inayotokana na falsafa ya kisiasa ya kihistoria inakwamisha ubia katika sekta ya maji...
2 Reactions
9 Replies
228 Views
Shirikisho la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) kwa kushirikiana na Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC) wamesaini makubaliano muhimu ya ushirikiano yanayolenga kuimarisha nafasi ya...
3 Reactions
8 Replies
284 Views
Jeshi linalotumwa kuwalindia madaraka Askari mwenye V tatu Mshahara 625,000 /= baada ya makato Huna V hata moja 228,000/= Hii iliongezwa kutoka 215,000/= Kupanda vyeo labda jeshini, polisi...
9 Reactions
22 Replies
572 Views
Kuna hivi vyombo vya habari vya machawa navyo siku hizi wanazungumza siasa, wasafi tv, clouds media na vyombo vingine vya habari zikiwemo youtube channel za machawa, nao siku hizi wanachambua...
8 Reactions
16 Replies
353 Views
Kwa katiba yetu tunajua Amiri Jeshi Mkuu ndo kila kitu kwenye nchi yetu. Sasa hizi tume mnazounda kila siku na kula kodi za wananchi wakati mtuhuumiwa namba moja katiba inamlinda hawezi kufanywa...
5 Reactions
9 Replies
208 Views
Hii ndio habari ambayo hukuambiwa kwenye Mikutano inayoendelea Nchi nzima Mamilioni ambayo Chadema inachangiwa na wananchi katika Mikutano yake ni balaa, huku Taarifa zingine zikionyesha kwamba...
18 Reactions
36 Replies
762 Views
CHADEMA Dodoma Yatia Shaka Mwenendo wa Kesi ya Tundu Lissu 'Haki Inachelewa Kupatikana' wakiendelea kusema wanahitaji Mwenyekiti wao Tundu Lissu awe huru kwa sababu kesi iliyomuweka ndani mwaka...
2 Reactions
6 Replies
190 Views
Ndugu zangu Watanzania, John Heche Inapaswa kwa sasa asiwepo Mitaani,inapaswa awe ndani ,inapaswa awe kwenye ulinzi mkali wa Magereza ,inapaswa awe kwenye Mfululizo wa mahojiano na kujibu...
2 Reactions
69 Replies
943 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…