Sifa za Nape Nnauye kwa Januari Makamba zimeacha maswali mengi kuliko majibu. Nape anapomnyanyua Makamba na kumwona ana akili sana, anashindwa kutambua kuwa viwango vyake vya kupima akili vimeshuka thamani. Hii inathibitisha uhalisia wa kisiasa kuwa upeo wa mtu hupimwa na wale wanaomzunguka. Nape anajidanganya kwa kuamini kuwa ujanja wa maneno ndio ubeba akili kubwa. Hakika, kwenye kijiji cha vipofu, mwenye chongo ndio rubani wao. Nape amepofushwa na siasa za kujuana kiasi cha kuona uwezo wa kawaida wa Makamba kama jambo la kipekee dunianiJazia jazia zaidi
Kama ulichonacho ni boxer tu ukikutana na aliyevaa bichkoma (pens) utaita surualiView attachment 3589373
Akihojiwa kwenye podcast ya Omari Kashera/Salma Dakota amedai hivyo.
"Ukimpima nyani kwa kigezo cha kupanda miti, utadhani kobe ni mzembe na nyani ni genius."
so what?🐒View attachment 3589373
Akihojiwa kwenye podcast ya Omari Kashera/Salma Dakota amedai hivyo.
"Ukimpima nyani kwa kigezo cha kupanda miti, utadhani kobe ni mzembe na nyani ni genius."
Usiingizwe mkenge na Nape ukahisi anasema kweli. Huyo anaangalia hatimae yake 2030, na baba January shamwambia January, akifanikiwa asimsahau Nape.Kiukweli mwamba anaakili sana tena sana ila kwa vile yupo CCM .. mm binafs ukiwa CCM hata kama una akili automatically unakuwa hauna akili
Yaani ukiwa CCM jama mwanamke hata kama una akili plus nyashi.. ukinitaka nakukataa
Makamba amekuwa Mbunge miaka 20.View attachment 3589373
Akihojiwa kwenye podcast ya Omari Kashera/Salma Dakota amedai hivyo.
"Ukimpima nyani kwa kigezo cha kupanda miti, utadhani kobe ni mzembe na nyani ni genius."
Samia alimuachia wizara ya Nishati kuanzia 2021 hadi alipomtoa, aliingiza nchi kwenye load shedding ya umeme kama ile ya 1993. Kipara hana nywele na hana akili piaMakamba amekuwa Mbunge miaka 20.
Amekaa Ikulu miaka 10.
Amekuwa waziri miaka 20.
Hana LEGACY wala chochote cha kukumbukwa.
Hizo akili alikuwa anazitumia wqpi, KWENDA KUNYA.
Makamba ukitoa Jina la baba yake hakuna kitu pale.Samia alimuachia wizara ya Nishati kuanzia 2021 hadi alipomtoa, akiingiza nchi kwenye load shedding ya umeme kama ile ya 1993. Kipara hana nywele na hana akili pia
Makamba,membe ni watu waliopingwa hadharani na katoliki,na Hilo linaendelezwa na waaminiSifa za Nape Nnauye kwa Januari Makamba zimeacha maswali mengi kuliko majibu. Nape anapomnyanyua Makamba na kumwona ana akili sana, anashindwa kutambua kuwa viwango vyake vya kupima akili vimeshuka thamani. Hii inathibitisha uhalisia wa kisiasa kuwa upeo wa mtu hupimwa na wale wanaomzunguka. Nape anajidanganya kwa kuamini kuwa ujanja wa maneno ndio ubeba akili kubwa. Hakika, kwenye kijiji cha vipofu, mwenye chongo ndio rubani wao. Nape amepofushwa na siasa za kujuana kiasi cha kuona uwezo wa kawaida wa Makamba kama jambo la kipekee duniani
Hizo ni mbinu zao za kimkakati hizo.hao ni majambaziSifa za Nape Nnauye kwa Januari Makamba zimeacha maswali mengi kuliko majibu. Nape anapomnyanyua Makamba na kumwona ana akili sana, anashindwa kutambua kuwa viwango vyake vya kupima akili vimeshuka thamani. Hii inathibitisha uhalisia wa kisiasa kuwa upeo wa mtu hupimwa na wale wanaomzunguka. Nape anajidanganya kwa kuamini kuwa ujanja wa maneno ndio ubeba akili kubwa. Hakika, kwenye kijiji cha vipofu, mwenye chongo ndio rubani wao. Nape amepofushwa na siasa za kujuana kiasi cha kuona uwezo wa kawaida wa Makamba kama jambo la kipekee duniani