instinct desire
JF-Expert Member
- Mar 17, 2026
- 1,200
- 889
Africa Kuna maajabu sana, mtu yupo gerezani lakini bado anaendelea kuwa kiongozi na watu wanamuona Bado kiongozi sasa mkiambiwa ni misukule au manyumbu mtalaumu?
Mtu anakesi ya uhaini huyo ni shetani kwa Mujibu wa makosa kwa Taifa lolote lile Duniani, amepoteza uzalendo kwa Taifa lake lakini Kuna misukule Bado inamwita mwenyekiti wetu🤣
Chadema chagueni mwenyekiti mwngine huyo ameshakosa sifa za kuwa hata balozi wa nyumba 10, otherwise mtakuwa mnashida kimfumo
Mtu anakesi ya uhaini huyo ni shetani kwa Mujibu wa makosa kwa Taifa lolote lile Duniani, amepoteza uzalendo kwa Taifa lake lakini Kuna misukule Bado inamwita mwenyekiti wetu🤣
Chadema chagueni mwenyekiti mwngine huyo ameshakosa sifa za kuwa hata balozi wa nyumba 10, otherwise mtakuwa mnashida kimfumo