Chadema ilishauri mapema kuwe na Maridhiano kabla ya uchaguzi CCM ikakataa, leo CCM wanataka kuridhiana nini na nani.
Viongozi wao wanazunguka mitaani wakiomba waridhiane wanaokota vijihabari na media uchwara kujaribu kulazimisha maridhiano.
Chadema wanasema, maridhiano ya kweli ni lazima,
Haki itendeke.
Uchaguzi urudiwe.
Samia aondoke kupisha uchaguzi.
Tume huru ya uchunguzi wa vifo vya oktoba 29.
Kesi za wafungwa wote wa kisiasa ikiwemo ya Lissu zifutwe.
Katiba Mpya.
Wauaji wa Mo29 wawajibike.
Viongozi wao wanazunguka mitaani wakiomba waridhiane wanaokota vijihabari na media uchwara kujaribu kulazimisha maridhiano.
Chadema wanasema, maridhiano ya kweli ni lazima,
Haki itendeke.
Uchaguzi urudiwe.
Samia aondoke kupisha uchaguzi.
Tume huru ya uchunguzi wa vifo vya oktoba 29.
Kesi za wafungwa wote wa kisiasa ikiwemo ya Lissu zifutwe.
Katiba Mpya.
Wauaji wa Mo29 wawajibike.
