Rais wa Namibia anatafuta nini Tanzania?

Rais wa Namibia anatafuta nini Tanzania?

Kama ni yule mama atakua na ziara kamtembelea jenerali ulimwengu mana wakati harakati za ukombozi

Waliishi pamoja kambi ya maficho kongwa dodoma jenero alikua anamhakikishia usalama bibie akiwa wa moto mrembo mwanaharakati za ukombozi

Madingi yetu haya yamekula vitu vizuri sana enzizao
 
Huyu mama aliishi sana Tanzania.

Kwao amefanikiwa kulipa Madeni yote ya selikali yake IMF
ya Namibia ililipa Eurobond ya dola za Marekani milioni 750 (US$750 million), sawa na takribani dola za Namibia bilioni 13.5–14.3 (N$13.5–14.3 billion).

Hili lilikuwa moja ya malipo makubwa zaidi ya deni katika historia ya nchi hiyo.
Bloomberg +1
Pia mwaka 2026 Namibia ilikamilisha kulipa deni lake lililokuwa limebaki kwa International Monetary Fund la takribani US$23.9 milioni, na kufanya salio la deni kwa IMF kuwa sifuri.
 
Nani kasema ukialikwa.huwezi kukataa ???

Jana Foreign Minister wa Italy amefuta safari yake kuelekea USA baada ya Trump kuongea ngebe kuhusu PM wa Italy.

kwangu siyo ishu, ishu ingekuwa labda kama raisi wenu wa tanzagiza angealikwa namibia for an official visit hapo kungekuwa na hoja, lkn hii siyo ishu usisahau pia kuna lobbying ya hali ya juu inaendelea (rejea kombo akitembea na picha ya Nyerere USA ingawaje muslims wanamchukia Nyerere hata hivyo lkn wanajua kwamba it works, typical muslim behavior siyo wajinga kiivyo) nyuma ya pazia.

wanatumia resources za serikali kufanikisha mambo kama hayo, wanatumia manipulations ya sijui "ukombozi" wa namibia ukichukulia kulikuwa na kambi ya wanamibia tanzagiza na wengi wao waliishi hapo, hivyo ni ngumu kukataa mwaliko kama huo, isitoshe anafanya transit tu akitokea ghana, kwangu siyo ishu na haisemi chochote mpaka labda yeye akialikwa namibia officially ...
 
Nchi ambayo inajadiliwa kwa UBAYA Dunia nzima unaenda kufanya nini?

Kwanini unajiharibia kirahisi namna hii?

Hakuna utakacho pata kila mahali pameuzwa
Unajadili kwa ubaya wewe na hao deal makers

Tulieni dawa iingie
 
Back
Top Bottom