Bei ya gas hipo juu
Kwa sasa tunafaidika vipi na gas ya Mtwara iliyoua watanzania na kuwafanya vilema Watanzania wenzetu? Kimya cha wan Tanzania kuhusu gas ya Mtwara kina nipa mashaka sana...
Kinachoendelea ukitulia utajua kimepangwa kwa makusudi, akili yangu inaniambia hili jambo limetengenezwa na wanasiasa kutugawa.
Siwezi kujua sana lengo lake ni nini ila ninaamini wajuzi wa mambo...
Ndugu zangu Watanzania,
Duniani Kote na Mataifa yote yanayojitambua hulinda Amani Na Usalama kwa nguvu zote na kwa kila njia . Mataifa yote kuanzia yale Makubwa hadi Madogo hulinda Amani na...
KUMBEE! Msime na akina Muliro wote washafika muda wa kustaafu na wamestaafu muda ila wapo kwa mkataba
Yaani ni majanga! Askari zaidi ya 2,000 watafanya lolote kubembelezea mkataba!
Ndo maana...
Hii ni baada ya Wataalam wa kikokotoo kugawa deni la kutisha la Tril 114.34 kwa idadi ya Watanzani Mil 61, 741, 120 idadi iliyotokana n.a. sensa ya 2022
March mwaka 2025 deni hilo lilikuwa Tr 107...
Ndugu zangu Watanzania,
Waziri Mkuu wetu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba maarufu kama Mr Clean kama ambavyo watanzania wengi hupenda kumwita ...
Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba, amesema enzi za kutegemea misaada kugharamia maendeleo na huduma za kijamii zimepitwa na wakati, akisisitiza umuhimu wa Watanzania kujenga utamaduni wa...
Mtaalam wa masuala ya utawala na uongozi, wa Chuo Kikuu cha Munich, Ujerumani, Profesa Dagobert Pinochet, anasema kuwa, tabia ya baadhi ya viongozi walioko kwenye ngazi za juu za utendaji kupinga...
Wanabodi,
Jumatatu ya leo, nimeipata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa. Leo nazungumzia Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, nchi yako inapatwa na majanga, halafu...
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Namibia zinapaswa kuimarisha ushirikiano katika sekta ya mafuta na gesi kufuatia ugunduzi wa akiba kubwa ya gesi baharini katika mataifa...
Tanzania inatajwa kuwa na deni kubwa zaidi miongoni mwa nchi zilizotajwa, ikidaiwa dola za kimarekani milioni
Mataifa mengine yaliyotajwa ni Uganda (dola milioni 15), Jamhuri ya Afrika ya Kati...
Maandamano yanayopangwa hiyo 7/7 hayatofanikiwa! Psychology ya watu haipo kabisa huko.
Afadhali wanaharakati wangewaacha CDM waendelee na mikutano yao na kuendelea kushawishi pressure kutoka nje...
Ni maneno ya Mbunge wa Kibamba na kiongozi wa CHADEMA, John J. Mnyika.
Ametweet kwamba taifa linaongozwa na sadist. Sijui anamaanisha taifa gani ila huenda akawa anamaanisha Tanzania. Kwa maana...
20 June 2026
YAH : Tamko rasmi la CHAPTERS ZA TLS NA AYL kupinga na kulaani mashauri ya kimaadili yaliyofunguliwa dhidi ya Boniface Mwabukusi
. June 20 2026
Viongozi wa Chapters (matawi) na...
Akiongea Star TV kwenye kipindi cha Medani za Siasa, Prof Tibaijuka anayejinadi kama mtu wa hoja amesema kuwa wakati wa sakata la Escrow hakusema hela ile (1.6 bil) ni ya mboga Bali wabaya wake...
Raisi anapoapishwa, anatamka kwa namna iliyo wazi sana kwamba ataulinda muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT), na hiki ni kipengele kikubwa sana cha kiapo chake. Raisi ana mamlaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.