Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tanzania ni yetu sote, hakuna kutishana na nyie wenye mamlaka.. Mjirudi tusonge mbele....!
1 Reactions
3 Replies
91 Views
Bei ya gas hipo juu Kwa sasa tunafaidika vipi na gas ya Mtwara iliyoua watanzania na kuwafanya vilema Watanzania wenzetu? Kimya cha wan Tanzania kuhusu gas ya Mtwara kina nipa mashaka sana...
3 Reactions
16 Replies
287 Views
Kinachoendelea ukitulia utajua kimepangwa kwa makusudi, akili yangu inaniambia hili jambo limetengenezwa na wanasiasa kutugawa. Siwezi kujua sana lengo lake ni nini ila ninaamini wajuzi wa mambo...
1 Reactions
5 Replies
147 Views
Ndugu zangu Watanzania, Duniani Kote na Mataifa yote yanayojitambua hulinda Amani Na Usalama kwa nguvu zote na kwa kila njia . Mataifa yote kuanzia yale Makubwa hadi Madogo hulinda Amani na...
2 Reactions
71 Replies
1K Views
KUMBEE! Msime na akina Muliro wote washafika muda wa kustaafu na wamestaafu muda ila wapo kwa mkataba Yaani ni majanga! Askari zaidi ya 2,000 watafanya lolote kubembelezea mkataba! Ndo maana...
7 Reactions
36 Replies
782 Views
Hii ni baada ya Wataalam wa kikokotoo kugawa deni la kutisha la Tril 114.34 kwa idadi ya Watanzani Mil 61, 741, 120 idadi iliyotokana n.a. sensa ya 2022 March mwaka 2025 deni hilo lilikuwa Tr 107...
7 Reactions
33 Replies
410 Views
Ujio kama huo ni kuhalalisha yaliyotokea 29.10.2025. Mwenye nia njema hakupashwa kuja hapa.
0 Reactions
0 Replies
88 Views
Hii ni kuzuia maneno ya chuki kutoka kwa raia.
16 Reactions
36 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Waziri Mkuu wetu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba maarufu kama Mr Clean kama ambavyo watanzania wengi hupenda kumwita ...
0 Reactions
7 Replies
148 Views
Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba, amesema enzi za kutegemea misaada kugharamia maendeleo na huduma za kijamii zimepitwa na wakati, akisisitiza umuhimu wa Watanzania kujenga utamaduni wa...
1 Reactions
7 Replies
163 Views
Mtaalam wa masuala ya utawala na uongozi, wa Chuo Kikuu cha Munich, Ujerumani, Profesa Dagobert Pinochet, anasema kuwa, tabia ya baadhi ya viongozi walioko kwenye ngazi za juu za utendaji kupinga...
3 Reactions
61 Replies
4K Views
Huu ndo ukweli mchungu watanzania 90% tuna toka kwenye familia zilizo jaa umaskini wa kupindukia. Ndugu zetu vijijini wanaogelea kwenye...
5 Reactions
42 Replies
398 Views
Wanabodi, Jumatatu ya leo, nimeipata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa. Leo nazungumzia Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, nchi yako inapatwa na majanga, halafu...
51 Reactions
473 Replies
36K Views
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Namibia zinapaswa kuimarisha ushirikiano katika sekta ya mafuta na gesi kufuatia ugunduzi wa akiba kubwa ya gesi baharini katika mataifa...
4 Reactions
48 Replies
663 Views
Tanzania inatajwa kuwa na deni kubwa zaidi miongoni mwa nchi zilizotajwa, ikidaiwa dola za kimarekani milioni Mataifa mengine yaliyotajwa ni Uganda (dola milioni 15), Jamhuri ya Afrika ya Kati...
3 Reactions
37 Replies
783 Views
Maandamano yanayopangwa hiyo 7/7 hayatofanikiwa! Psychology ya watu haipo kabisa huko. Afadhali wanaharakati wangewaacha CDM waendelee na mikutano yao na kuendelea kushawishi pressure kutoka nje...
6 Reactions
41 Replies
767 Views
Ni maneno ya Mbunge wa Kibamba na kiongozi wa CHADEMA, John J. Mnyika. Ametweet kwamba taifa linaongozwa na sadist. Sijui anamaanisha taifa gani ila huenda akawa anamaanisha Tanzania. Kwa maana...
40 Reactions
291 Replies
31K Views
20 June 2026 YAH : Tamko rasmi la CHAPTERS ZA TLS NA AYL kupinga na kulaani mashauri ya kimaadili yaliyofunguliwa dhidi ya Boniface Mwabukusi . June 20 2026 Viongozi wa Chapters (matawi) na...
4 Reactions
7 Replies
344 Views
Akiongea Star TV kwenye kipindi cha Medani za Siasa, Prof Tibaijuka anayejinadi kama mtu wa hoja amesema kuwa wakati wa sakata la Escrow hakusema hela ile (1.6 bil) ni ya mboga Bali wabaya wake...
3 Reactions
42 Replies
5K Views
Raisi anapoapishwa, anatamka kwa namna iliyo wazi sana kwamba ataulinda muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT), na hiki ni kipengele kikubwa sana cha kiapo chake. Raisi ana mamlaka...
0 Reactions
4 Replies
128 Views
Back
Top Bottom