Polisi wafunga comments za post ya Tanzia ya Richard Ambwao

Polisi wafunga comments za post ya Tanzia ya Richard Ambwao

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,169
Reaction score
138,400
Screenshot_20260621-104452.png

Hii ni kuzuia maneno ya chuki kutoka kwa raia.
 
1975 - 2026 = 51 years old

Alikuwa bado kijana sana kumbe..

Mimi nilidhani kafa kwa uzee wa miaka 70+ kumbe inawezekana ikawa ni kwa sbb ya mastress au kuchinjwa na wenzake kwa kuwa alikuwa na siri zao..

Dunia si kwetu, tuishi kwa kupendana na kutendeana yaliyo ya haki na mema sisi kwa sisi ili tufapo, tufe kwa amani tukaishi na Baba Mungu milele..

Mungu amweke mahali panapomstahili kama haki yake...🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
Kuendelea kudhani kwamba woote wanao comment kinyume na mazoea pale inapotokea kifo cha askari au kiongozi wa serikali ni wafuasi na wanachama wa CHADEMA ni kunilisha upepo ambao haushibishi

Wakae chini watafute walipokosea wayaweke sawa na wananchi, hii hali sio nzuri.
 
Back
Top Bottom