Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha, linamshikilia Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Mandeleo Mhe. Tundu Lissu pamoja na wenzake watatu wa Chama hicho kwa ajili ya mahojiano kuhusiana na...
4 Reactions
96 Replies
10K Views
Yaani Katiba ni ya Mfumo wa Chama Kimoja halafu akina Chadema na ACT Wazalendo wanajiita Wapinzani Hivi vyama vinavyojiita vya Upinzani wote ni Wanaharakati tu ndio sababu CCM inawakaanga tu...
1 Reactions
4 Replies
549 Views
"Siku moja mtanikumbuka, najua mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya, kwa sababu nime 'SACRIFICE' MAISHA YANGU kwa ajili ya Watanzania maskini" ~ Hayati. John Magufuli (RIP). Ingawa najua kuna...
36 Reactions
71 Replies
4K Views
Inasemekana kuwa ndani ya CCM kwenye Uchaguzi wa mwaka 2025 chama hicho kinatarajia kumfanya Dotto Biteko kuwa Mgombea mwenza kwa Samia Suluhu Hassan kwenye uchaguzi huo. CCM bwana!!!
21 Reactions
103 Replies
11K Views
Hawa wadau wanaoitwa wadau wa mabaraza ya demokrasia tangu 2021 wao ni vikao tu. Leo wako Dar kesho Dodoma keshokutwa Arusha. Kwa miaka miwili hatujaona impact wanazunguka tu kama mpira wa kona...
3 Reactions
11 Replies
765 Views
Kuna maswali mengi nimejiuliza, Zitto bungeni ameongea kulaumu kwanini Tz imefungua ubalozi Israel, lakini hajauliza maswali yafuatayo:- 1. Kwanini Watanzania wengi kila mwaka huwa wanatembelea...
27 Reactions
282 Replies
68K Views
Ukweli ni Kwamba, lengo la ziara ya Tundu Lissu na Chama chake, kupeleka Oparesheni 255 kwenye maeneo ya hifadhi ya Ngorongoro ilikuwa ni kuitangazia dunia unyama wanaofanyiwa Wamasai na Serikali...
49 Reactions
140 Replies
11K Views
IGP, ujumbe huu ukufikie Popote ulipo. Ni aibu kwa Serikali ya CCM kukosekana kwa kituo cha Polisi Itumbi. Watu wanauawa kama nzige na hakuna kuripotiwa popote. Nchi hii imekuwa ngumu sana!
0 Reactions
4 Replies
856 Views
Wakati Tunakaribia uchaguzi mkuu 2025, Dream team imeanza kupangwa, Captain amepewa captain msaidizi {kapten kapunguziwa madaraka kijanja} huku mabeki wakipewa wanasheria. Kapten kashtuka...
9 Reactions
147 Replies
12K Views
Uangalizi wa Uchaguzi ni nyenzo muhimu ya kuboresha Uchaguzi kuwa Huru na wa Haki. Husaidia kujenga imani ya Umma katika michakato ya Uchaguzi, kuzuia Udanganyifu na Ulaghai, au kufichua Matatizo...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Chondechonde mama, hao wafanyabishara wanaokushauri wanakupoteza. Kwenye uchumi wa kibepari mfanyabiashara anaangalia faida yake tu, sio wajibu wake kulinda maslahi ya nchi au mtu mwingine yeyote...
22 Reactions
47 Replies
6K Views
CCM ndiyo chama kikuu cha siasa nchini na kikongwe Afrika. Chama hiki kimejengwa katika misingi imara ya kusuluhisha migogoro, kujiendesha kiuchumi, kujiongezea wanachama, na kina mfumo imara wa...
6 Reactions
62 Replies
3K Views
Ndugu zangu Watanzania wale madingi wa Katoliki ni miamba sana, wamemaliza ujinga wa DPW. Muda si mrefu Mama atatema bungo. Tender hiyo, wenye mbavu waipambanie. Ile sheria ya maliasili...
117 Reactions
189 Replies
18K Views
Wakuu, Uhuru wa kutoa maoni umehakikishiwa na katiba katika ibara ya 18 kwa kila mtu bila kuathiri sheria za nchi. Kila mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa mawazo yake nje. Uhuru wa...
4 Reactions
23 Replies
1K Views
Ninaamini viongozi wengi mnapita humu Jamii Forums, naamini hata mbunge wa eneo hili la Mbozi anasoma humu. Nimepita barabara hii wiki iliyopita na kufanya utafiti na nikagundua kwamba barabara...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Akina Mwijaku na machawa wenzie wote...vyombo vya habari na waandishi wake...baadhi ya watendaji wa serikali. Wamejaa huko kwa kugharamiwa mavazi malazi na chakula. Promo kila redio na TV ni...
10 Reactions
63 Replies
7K Views
Naona matangazo mengi ya DP World yakinifikia yakiwa sponsored kwenye mitandao ya kijamii. Nikikumbuka kauli ya mwisho ya Serikali ni kutokurudi nyuma licha ya vyama vya upinzani kupinga mkataba...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Nimeshangaa bei ya mafuta Zanzibar petrilo ni 2900 na diesel 3100! Hawa Zanzibar mafuta wanatoa wapi huko ambako siai hatuwezi kwenda? Hii nchi si moja? Kuna nini hapo katikati?
12 Reactions
30 Replies
3K Views
Acha Leo nikupongeze sana mwanamke shujaa Alicia! Sijui ulipo ,sikufahamu inner circle, nachojua ni kwamba ulihusika kwa asilimia mia kupigania uhai wa Tundu Lissu mumeo! Wanadamu hatuna desturi...
6 Reactions
9 Replies
1K Views
Wana Jf, kama mnakumbuka kipindi Mrema akiwa waziri wa mambo ya ndani wananchi wenye vilio walijipamga foleni ndefu kumlilia asikilize vilio vyao. Walipata ahueni japo kwa kusikilizwa tu...
2 Reactions
5 Replies
531 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…