mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,379
- 3,826
Wana Jf, kama mnakumbuka kipindi Mrema akiwa waziri wa mambo ya ndani wananchi wenye vilio walijipamga foleni ndefu kumlilia asikilize vilio vyao.
Walipata ahueni japo kwa kusikilizwa tu. Walimshangilia na kumpenda hata kama Mrema alikosea hapa na pale. Mrema alikuwa maarufu kwa kutoa siku saba kwa waliotuhumiwa.
Leo hii kuna wananchi wana vilio vingi tu sasa hawajui wa kumlilia. Chadema wamegundua hilo wanajaribu kuchukua jukumu hilo japo tofauti na staili ya Mrema. Je, wale waliochaguliwa wanajua wajibu wao kwa wananchi? Hivi wanaweza kukana kuwa wananchi hawana vilio?
There are so many unanswered cries!
Walipata ahueni japo kwa kusikilizwa tu. Walimshangilia na kumpenda hata kama Mrema alikosea hapa na pale. Mrema alikuwa maarufu kwa kutoa siku saba kwa waliotuhumiwa.
Leo hii kuna wananchi wana vilio vingi tu sasa hawajui wa kumlilia. Chadema wamegundua hilo wanajaribu kuchukua jukumu hilo japo tofauti na staili ya Mrema. Je, wale waliochaguliwa wanajua wajibu wao kwa wananchi? Hivi wanaweza kukana kuwa wananchi hawana vilio?
There are so many unanswered cries!