Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nitoe mfano wangu binafsi. Mie sio mwanasiasa, na wala sijawahi kujihusisha na siasa. Lakini mtu yeyote akisoma thread zangu anaweza kuhisi mie ni mwanachama wa Chadema au chama kingine cha...
6 Reactions
15 Replies
164 Views
Tanzania kama nchi nyingine za Afrika zinahitaji misaada ili kutoa huduma kwa wananchi. Unapozouia misaada maana yake unadhamiria kuwanyima watoto huduma za chanjo, matibabu na elimu. Unawanyima...
3 Reactions
118 Replies
1K Views
NIMEJIKUTA NAMKUMBUKA MCHUNGAJI MTIKILA. Binafsi nimefuatilia sana siasa za kenya kama kama ninavyofuatilia siasa za hapa nchini kwetu Tanzania. Ukweli ni kwamba nchi hizi mbili ni miliki ya...
0 Reactions
8 Replies
199 Views
Haya ni maoni ya huyu Msomi wa Sheria. Pia soma > Waziri Katambi apiga marufuku mikutano ya siasa kwa vyama vyote -- Waziri hana mamlaka ya kisheria, na wala ya kikatiba, ya kuzuia shughuli za...
10 Reactions
32 Replies
477 Views
IGP MSTAAFU MAHITA, akiwa anahojiwa katika podcast ya Mr&Mrs Kashera alisikika akisema, JESHI LA POLISI linapokea AMRI na maagizo kutoka katika Mamlaka tatu tu ambazo ni Rais, Makamu wa Rais na...
4 Reactions
13 Replies
356 Views
Kuna Vitetesi fulan japo 2025 ni mbali ila kwa uoga wa Rais Magufuli, endapo akikubali kuachia madaraka basi atauingilia Uchaguzi kuanzia mchakato wa Mgombea ndani ya Chama hadi Uchaguzi Mkuu kwa...
19 Reactions
104 Replies
11K Views
Kwanza mpaka sasa asilimia kubwa ya watanzania hatujui maana ya neno uzalendo, tunalitafsiri katika hisia za kisiasa tu, Leo hii ukiuliza swali dogo tu ukasema kati ya Magufuli na Lissu nani...
8 Reactions
114 Replies
7K Views
Yaani imefikia kwamba katika uongozi wa Raisi Samia na CCM yake, wao wakisikia tu maandamano wanatafsiri kuwa ni uvunjifu wa amani. Hata siku moja sijasikia wakisema tutalinda amani ili...
1 Reactions
4 Replies
78 Views
Mfikiriavyo sivyo, kuwaza kuwa Polepole anakomolewa. Nani Amkomoe Polepole na kwa lipi? Polepole ni mzalendo na Mchapakazi sana na hivyo ndio vinambeba hadi anakuwa promoted kwenda Taifa rafiki...
9 Reactions
25 Replies
4K Views
Kuiga si vibaya as long as tunaiga kile kilicho sahihi na manufaa kwetu sote. Huyu kijana wa Indonesia anapewa zawadi ya pesa cash na FBI wa marekani kwa kutoa taarifa zilizopelekea kukamatwa kwa...
9 Reactions
36 Replies
3K Views
Watanganyika wamegeuka kuwa oombaomba ndani ya nchi ya Zanzibar. Kama wazanzibar hawawataki katika nchi yao si muondoke? Kwanini mnang'ang'ania kukaa katika nchi ya watu kwa lazima? Mnasubiri...
23 Reactions
149 Replies
2K Views
Juzi Mnyika amesema CHADEMA imepoteza mil. 918 kwa kutofanya mikutano je! Hizi Hela zinaingiaje nchini? Au hazipitii bank? Ni beberu yupi aliwapa chadema Hela ili ikiwezekana tumuwekee vikwazo...
3 Reactions
53 Replies
272 Views
Kila kitu hubadilika ila mabadiliko ndo kitu pekee hakibadiliki. Mabadiliko yanapokuja au kutokea , Jaribu kuyaeleweka na kubadilika kutokana na hayo mabadiliko . Mfano mdogo ni platform za...
10 Reactions
11 Replies
246 Views
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Juni 27, 2026 akizungumza na wananchi wa Ikungi, Mkoani Singida amesema kuwa Serikali haina ugomvi na chama chochote cha siasa, bali inaweka mbele kipaumbele...
2 Reactions
9 Replies
193 Views
  • Redirect
Waziri Mkuu Lameck Nchemba, amefichua kuwepo kwa njama za siri zinazosukwa na baadhi ya watu kuwalipa watu wengine ili wawapige watakaoshiriki maandamano, kwa lengo la kuichafua Serikali. Dkt...
2 Reactions
Replies
Views
Gazeti la Mwafrika mwaka 1958, Oktoba 11 liliandika "WAMEFUKUZWA KATIKA TANU NA MKUTANO MKUU WA MWAKA" Gazeti hilo liliandika Mkutano mkuu wa TANU umemfukuza katika chama Sh. Sulemani Takadiri...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Kusema ukweli enzi za JPM alikuwa na watu mtandaoni haswa. Kama hapa JF alikuwa na Kijiji kweli cha watu, wanaanzisha nyuzi mpya kila dakika, wanashambulia nyuzi kujibu mashambulizi, wanaripoti...
11 Reactions
62 Replies
651 Views
Ukiona chama cha siasa kinaitisha masndamano ni kiashiria kuwa kimeshindwa kushawishi wananchi.
1 Reactions
12 Replies
127 Views
CCM wakiangalia mbele ni giza sababu haakuna walichofanya. Hivyo wanahofu ya kuondolewa madarakani. Mikutano ya CHADEMA inawatisha kwani walitegemea CHADEMA imekufa. Hata 29.10.2025 walipiga...
23 Reactions
44 Replies
537 Views
Habari wadau wa JF Siasa, niende kwenye mada hapo juu. Itakumbukwa tarehe 7/7/1954 kuna Wajumbe 17 wanaokumbukwa katika historia kwenye kuchangia pakubwa kuanzishwa Chama cha TANU. Miongoni mwao...
12 Reactions
310 Replies
42K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…