Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wewe shehe Mwaipopo kwa kutoa matamko ya kutishia watu na kuitetea CCM humfikii hata robo marehemu shehe Sharifu Majini lakini aliishia kupigwa risasi za kutosha kwenye maandamano ya October 29...
24 Reactions
61 Replies
1K Views
Wanabodi ANGALIZO: Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo, kuna watu humu wana allergy kila rais Magufuli akisifiwa na kupongezwa kila ananapofanya jambo zuri, au jambo jema lolote, wao...
44 Reactions
262 Replies
27K Views
Gharama za kuomba KIBALI cha kazi kwa raia wa Afrika Mashariki anapotaka kwenda kufanya kazi katika nchi mwanachama wa Jumuiya EAC: Burundi: $60-84 Kenya: Hakuna ada Rwanda: Hakuna ada Tanzania...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Mi nshamaliza kwenye title
1 Reactions
4 Replies
89 Views
Wanaukumbi. UCHAGUZI ulishafanyika Tanzania yaani nchi imeshaondoka kwenye uchaguzi na Rais alishaapa na Rais wa Tanzania ni Mhe.Samia Suluhu na mambo yatakwenda hivyo mpaka Oktoba 2030.. Sijui...
0 Reactions
20 Replies
223 Views
JamiiForums ipo kwa ajili ya mambo mbalimbali, nje ya yote inawaunua vijana kufanya biashara zao humu na kupunguza ugumu wa maisha. Lakini wote mashahidi september 06 mwaka huu JF ilifungwa...
8 Reactions
16 Replies
758 Views
Maumivu ya Mbinyo wa Mabeberu yameanza kutufinya. Hapo ndo kwanza wanatujadali. Leo wamemsikiliza Mke wa Tundu Lissu na baadaye dada wa Humphrey Polepole. Wanaowasikiliza nao wamelia kwa...
13 Reactions
46 Replies
1K Views
CHATO! CHATO! CHATO! Tundu AM Lissu, MB Tienen, Ubelgiji Chato imetamalaki kwenye vichwa vya habari vya magazeti mengi ya Tanzania katika siku za karibuni. Chato imetawala mijadala katika...
97 Reactions
255 Replies
31K Views
Kwa taarifa zilizopo hadharani, Prof. Assad hajawahi kumtaja wazi kwa jina waziri huyo katika nukuu inayosambazwa kuhusu waziri kijana anayemiliki magari matatu aina ya LC300, Range Rover na...
6 Reactions
44 Replies
1K Views
Tunamshukuru Mbunge Msukuma hakumung'unya maneno kwa kuelezea jinsi fedha ya Road Fund inavyochezewa, kinyume na sheria ya Bunge. Kuna Mkandarasi mzawa ninaye mfahamu alipata kazi nzuri tu...
19 Reactions
133 Replies
3K Views
Mheshimiwa Rais, naomba kuandika kwa ufupi sana. Kutekwa kwa Polepole , Mdude na hata kuuwawa kwa Mzee Kibao kuliacha damu nyingi sana ikimwagika, naomba kukuliza Mheshimiwa mwenye jukumu la...
12 Reactions
25 Replies
444 Views
Heshima kwenu wakuu, Juzi rais alipotutembelea huku kwetu Kagera, rais Magufuli alijinasibu kwamba yeye ni Muyango yaani "abayango" hujiita Wazilankende. Akadai babu yake alizikwa pale Bukoba...
10 Reactions
414 Replies
101K Views
Nakusalimu mheshimiwa Raisi. Kwa unyenyekevu mkubwa sana naandika haya kama mwananchi wa kawaida ambaye anapenda kuona wewe unafanikiwa. Huu ni ushauri, hivyo unaweza ukautendea kazi au ukaupuuza...
110 Reactions
112 Replies
7K Views
Air Tanzania Company Limited (ATCL) has launched direct flights between Mwanza and Dodoma, cutting travel time from 10 to 12 hours by road to just one hour and 20 minutes by air, in a move...
0 Reactions
4 Replies
202 Views
Wote tumeona na kusikia kauli na matamshi ya viongozi wa chadema Toka mwaka Jana kiasi cha kusababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu yetu ambayo imejengwa kwa garama kubwa, uharibifu huu...
0 Reactions
79 Replies
787 Views
Wakuu, Kama mtakumbuka uzi wangu uliopita, nilieleza jinsi fedha za VIP Engineering zilivyosambazwa kwa wanasiasa wa chama tawala wakiwemo viongozi wawili wa juu wa Upinzani. Sasa mambo yanaanza...
15 Reactions
973 Replies
95K Views
Napenda kuwatia moyo kuwa katika mapambano haya ya kudai Haki na usawa katika nchi hii hampo peke yenu. Mwamko ni mkubwa sana huyu nyoka CCM apondwe kichwani afe. People's, people's, people's...
11 Reactions
51 Replies
553 Views
Hiyo katiba mpya itakujaje huku mnahubiri vurugu, huku mnafanya uchochezi, huku mnahujumu uchumi wa nchi, inamaana viongozi wa chadema hawayaoni haya? Nadhani ni vihio/vilaza wote Ukiwaona...
0 Reactions
56 Replies
440 Views
Katika mahojiano maalum yaliyorushwa na M&S Podcast, Juni 24, 2026, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu, Prof. Mussa Juma Assad, amefafanua kuwa kiongozi bora ni yule...
2 Reactions
1 Replies
119 Views
Kwenye vita huwa hatushambulii kulia, kushoto, mbele na nyuma lazima uache njia ya kukimbilia ukizidiwa. Baada ya kusikia Mke wa Lissu na Dada wa Polepole kwenye bunge la Ulaya niseme kuwa hakuna...
61 Reactions
123 Replies
3K Views
Back
Top Bottom