Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa niaba yangu binafsi, na wale wote wenye mapenzi mema kwa nchi na taifa kwa ujumla. Nawashukuru watanzania na wananchi wenzangu, kwa kuiunga mkono serikali sikivu ya awamu ya6, chini ya...
1 Reactions
38 Replies
1K Views
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa ameifunga ofisi ya Idara ya Ardhi ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma na kuamuru Watumishi wa Idara hiyo kuhamia kwenye Ofisi za Kamishna...
8 Reactions
43 Replies
5K Views
Kuna Mabalozi wengi sana wa Mataifa mbalimbali ambao wanawakilisha Mataifa yao hapa Tanzania. Lakini baadhi ya Mabalozi wanafanya kazi nzuri iliyotukuka kushinda Balozi zetu. Baadhi ya hao ni...
2 Reactions
10 Replies
696 Views
Kipaumbele cha Wananchi wa Tanzania ni nini? Dispensary ya Kijiji cha Nahukahuka halmashauri ya Mtama mkoani Lindi ujenzi wake unahitaji tsh million 68 na Wananchi wamejaliwa kuchanga tsh million...
3 Reactions
35 Replies
2K Views
1.Wakati Tanzania bara wanafukuza wamachinga hovyo na kuwarudisha nyuma kimaendeleo, upande wa Zanzibar Rais Mwinyi amewapa vitambulisho na kuwapa uhuru wa kupiga kazi masaa 24. 2. Wakati...
15 Reactions
235 Replies
15K Views
Katika kuifahamu dhana ya 'Balance and Check' katika mihimili ya Dola kwa maana ya Serikali, Bunge na Mahakama sijawahi kujua hii dhana inafanya vipi katika eneo la Mahakama. Kwa mfano Bunge...
2 Reactions
9 Replies
639 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, amefunguka mazito kuhusu Bwawa la Umeme la Nyerere namna lilivyoteketeza Watu huko Rufiji. Ameyasema hayo kwenye viwanja vya Mwembeyanga alipohutubia...
18 Reactions
185 Replies
7K Views
Hakika nichukue nafasi hii kumpongeza kwa dhati Waziri wa Ardhi, Jerry Silaa kwa Maamuzi Magumu anayoyachukua katika Wizara yake. Wizara ya Ardhi ni moja ya Wizara zenye WATENDAJI WA OVYO SANA...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Fikiria Urefu wa kamba ya Afisa Mifugo, anatoka ofisini anakwenda minadani anakusanya Tozo jumla ya tsh million 9 na haziwasilishi serikalini mwaka mzima, DED anaposikia Shujaa Mdogo RC Makonda...
12 Reactions
13 Replies
874 Views
Mti wenye matunda sharti upigwe mawe ndivyo ilivyo pia kwa kiongozi bora na mzalendo kama MAKONDA Makonda ni miongoni mwa viongozi wachache barani Africa waliotayari kupoteza hata kile walicho...
0 Reactions
0 Replies
747 Views
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema wizara kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imejipanga kufanya matengenezo makubwa kwa lengo la kurudisha mawasiliano kwenye barabara...
0 Reactions
0 Replies
422 Views
Mbunge Felista Deogratius Njau akichangia mada kuhusu Hotuba ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki amesema majengo kadhaa ya Ubalozi wa Tanzania yamechakaa likiwemo la...
0 Reactions
0 Replies
984 Views
The following is the list of top 10 African Countries with serious leaders; 1. Burkina Fasso 2. Kenya 3. Rwanda 4. Cote d' Voire aka Ivory Coast 5. Uganda 6. Senegal 7. Guinea 8. Niger 9. Mali...
14 Reactions
52 Replies
3K Views
COMORO KUMUUNGA MKONO DKT. NDUGULILE KINYANG'ANYIRO CHA WHO - AFRIKA Serikali ya Comoro imeahidi kuunga mkono ugombea wa Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile katika nafasi ya Ukurugenzi wa Kanda wa...
0 Reactions
1 Replies
411 Views
Huyu kijana alikuwa Makamu Mwenyekiti wa UVCCM , akafanyiwa figisu mbaya sana na kunusurika kutekwa . Baada ya miaka mingi kupita hatimaye leo amechaguliwa kuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM...
5 Reactions
22 Replies
3K Views
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewatoa hofu wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam wanaotumia usafiri wa vivuko eneo la Kigamboni -Magogoni juu ya taharuki kuhusu huduma inayotolewa na Wakala wa...
0 Reactions
4 Replies
874 Views
Nikiwa mtoto mdogo pale Ikulu niliwahi kumona Mwalimu akitoa hotuba ndefu pembeni ya hayati Rashid Kawawa miaka ile ya 80 mwanzoni. Mwalimu alijaliwa karama binafsi za ushawishi {charismatic...
0 Reactions
0 Replies
345 Views
Kumekuwepo na tuhuma nyingi kuhusu udhaifu wa mahakama ya Tanzania kwa miaka takribani nane sasa. Jaji Mkuu aliyepo ameonyesha kushindwa kabisa kujitenga na matakwa ya serikali na hivyo kuifanya...
10 Reactions
35 Replies
2K Views
Nchi hii ina jumla ya mikoa zaidi ya ishirini na sita, napenda kutambua ubora wa wakuu watatu wa mikoa ambao ni hazina kwa taifa letu 1. Paul Christian Makonda -Arusha 2. Said Mtanda - Mwanza 3...
15 Reactions
62 Replies
4K Views
MOROGORO: TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Morogoro imebaini mbinu chafu zinazotumiwa na baadhi ya mawakala kuwaibia wateja wao pindi wanapohitaji kufanya miamala ya...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom