Benno Malisa arejea kwa kishindo CCM

Benno Malisa arejea kwa kishindo CCM

Huyu kijana alikuwa Makamu Mwenyekiti wa UVCCM , akafanyiwa figisu mbaya sana na kunusurika kutekwa .

Baada ya miaka mingi kupita hatimaye leo amechaguliwa kuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa kutokea Moshi Mjini .
Nguvu ya pesa za mbunge wa Moshi mjini, alikuwa campaign manager wake
 
Huyu kijana alikuwa Makamu Mwenyekiti wa UVCCM , akafanyiwa figisu mbaya sana na kunusurika kutekwa .

Baada ya miaka mingi kupita hatimaye leo amechaguliwa kuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa kutokea Moshi Mjini .
Hii ni political mileage Kwa CCM, Haina AFYA Kwa CDM.
 
Back
Top Bottom