Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,278
- 2,041
Hakika nichukue nafasi hii kumpongeza kwa dhati Waziri wa Ardhi, Jerry Silaa kwa Maamuzi Magumu anayoyachukua katika Wizara yake.
Wizara ya Ardhi ni moja ya Wizara zenye WATENDAJI WA OVYO SANA wanaowachosha Wananchi kwa makusudi kabisa kutokana na kutofanya kazi zao kwa UADILIFU na kuzingatia SHERIA na TARATIBU.
Watendaji wa Ardhi wamekuwa ni MIUNGU watu wawapo maofisini. Kuhusu kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa Makazi nakupongeza sana kwani Idara ya Mipango Miji imekuwa inatuharibia sana Miji yetu. Badala ya kuipanga Miji wao wanaiharibu.
Kwa mfano hapa Sumbawanga Manispaa kuna Ujenzi wa KITUO cha MAFUTA katikati ya Makazi ya Wananchi na Ofisi ya CCM mkoa na Benki. Pia Kituo hiki kipo jirani kabisa na Vituo vya Mafuta vya siku nyingi umbali wa Mita 50.
Kituo hiki kipya kilikuwa ni Kiwanja cha Makazi lakini Mkurugenzi wa Makazi amekibadilisha Matumizi Mwaka 2021/22 kuwa Kituo cha Mafuta na Manispaa Wamemetoa Kibali cha Ujenzi.
Waziri hebu unda timu yako ya kuhakiki Uhalali wa Vituo vya Mafuta au agiza Makamishina wako wa Mikoa wakuletee Orodha ya VITUO vyote vya Mafuta ujiridhishe na Uhalali wake kwani Ukaribu wa Kituo hadi Kituo ni JANGA lingine kwa Wananchi SIKU AJALI ya MOTO ITAKAPOTOKEA.
Wizara ya Ardhi ni moja ya Wizara zenye WATENDAJI WA OVYO SANA wanaowachosha Wananchi kwa makusudi kabisa kutokana na kutofanya kazi zao kwa UADILIFU na kuzingatia SHERIA na TARATIBU.
Watendaji wa Ardhi wamekuwa ni MIUNGU watu wawapo maofisini. Kuhusu kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa Makazi nakupongeza sana kwani Idara ya Mipango Miji imekuwa inatuharibia sana Miji yetu. Badala ya kuipanga Miji wao wanaiharibu.
Kwa mfano hapa Sumbawanga Manispaa kuna Ujenzi wa KITUO cha MAFUTA katikati ya Makazi ya Wananchi na Ofisi ya CCM mkoa na Benki. Pia Kituo hiki kipo jirani kabisa na Vituo vya Mafuta vya siku nyingi umbali wa Mita 50.
Kituo hiki kipya kilikuwa ni Kiwanja cha Makazi lakini Mkurugenzi wa Makazi amekibadilisha Matumizi Mwaka 2021/22 kuwa Kituo cha Mafuta na Manispaa Wamemetoa Kibali cha Ujenzi.
Waziri hebu unda timu yako ya kuhakiki Uhalali wa Vituo vya Mafuta au agiza Makamishina wako wa Mikoa wakuletee Orodha ya VITUO vyote vya Mafuta ujiridhishe na Uhalali wake kwani Ukaribu wa Kituo hadi Kituo ni JANGA lingine kwa Wananchi SIKU AJALI ya MOTO ITAKAPOTOKEA.