Wakuu salaam!
Naweza kupingana na mama sehemu nyingi ila kuna mambo ya kimaslahi kitaifa siwezi kupinga. Mama ana mapungufu yake ila???
Ila??
Nani anayetaka wafanyabiashara Kariakoo wagome na...
Sijamjua kama ni faida ya Katiba mpya ama la ila Wenzetu Kenya Wana Demokrasia iliyonyooka
Maaskofu wote Leo wamewatetea Vijana wa Gen Z kwamba hawana Nia mbaya kwa Taifa
Katika Kanisa alilosali...
Hiyo ndio Taarifa ya sasa baada ya mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo unaoendelea
=======
Waziri wa Viwanda na Biashara, Kitila Mkumbo amesema wamekutana na wafanyabiashara wa Kariakoo na...
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amefika soko la Kariakoo kutokana na Biashara kufungwa kuanzia leo Juni 24, 2024 na kuongea na wafanyabiashara.
Chalamila amesema wafanyabiashara...
Ingefaa kwamba Umoja wa Afrika (AU) ingekuwa kama baba kwa nchi za Afrika.
Uwepo wake ulipaswa kunufaisha raia wa nchi wanachama!
Pamoja na uwepo wa AU, bado nchi za Afrika zimeendelea kuwa...
Mafisadi wameshinda, wamemfyatua Mwamba Luhaga Joelson Mpina (MB) kwa adhabu ya kutohudhuria vikao (sitting sessions) 15
Hoja ya uongo wa Waziri na kutoa vibali kwa kampuni hewa kuagiza Sukari...
Bunge la Jamhuri ya Muungano limekuwa sawa na Pango la Wanyanganyi na ni hatari kwa Usalama wa taifa na amani yetu.
Leo tarehe 24/06/2024 Bunge limekaa kikao kujadili kinachoitwa Utovu wa nidhamu...
Kuna Kila dalili serikali kuwaonea huruma watumishi wa umma
Hadi Leo tar 23.6.2024 mishahara haijatoka.
Hili ni tatizo ,na ukiona serikali imeshindwa kulipa watumishi wake jua ipo mwishoni...
Leo tarehe 24 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amutana Na Wajumbe Wa Bodi Ya Mishahara Na Maslahi Katika Utumishi Wa Umma na kuwaaigiza kufanya tathmini ya viwango vya mishahara wa watumishi wa umma...
Mbunge machachari asiyepoa kutokea jimbo la Kisesa mkoani Simiyu amesema ana ushahidi wa kutosha wa namna baadhi ya mawaziri wanavyotumia vibaya madaraka yao na kujihusisha na ufisadi wa kutisha...
Mbunge wa jimbo la Gairo mh Shabiby, wakati akichangia hotuba ya bajeti kuu amemshukia kama mwewe waziri wa fedha Mwigulu Nchemba kuwa tabia yake ya kutaka kuwa mzuri kwa kila mtu na kila taasisi...
CCM Zanzibar imemruka kimanga Naibu Katibu mkuu Dr Mohamed Dimwa aliyesema Kamati maalumu ya CCM Zanzibar imependekeza Rais Mwinyi aongezewe Muda Kutoka miaka 5 hadi 7
Katibu mwenezi CCM Zanzibar...
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yawakutanisha wadau wa elimu, sayansi na teknolojia kujadili Rasimu ya Mkakati wa Kitaifa wa Matumizi ya Teknolojia katika Elimu. Mkutano huo wa siku mbili...
Kabla Idara za Kodi hazijaunganishwa na kuunda TRA kulikuwepo Kitengo Cha Investigation Branch (IB) chini ya Idara ya Income tax
Hawa Mabwana Kazi yao ilikuwa kufanya Uchunguzi na Ukaguzi Kwa...
Baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila kufika Kariakoo na kuzungumza na Wafanyabiashara kuhusu suala lao la kugoma kufungua biashara ambapo amewasisitiza wafungue wakati...
Wafanyabiashara na wenye viwanda wanapaswa kulipa kodi stahili kwa uhai wa Taifa letu.
Kodi zinazolipwa zinapaswa kutumika vema,Kulindwa na kusimamiwa vema na si kufujwa.
Mchakato wa kukusanya...
Nimeyasoma madai ya wafanyabiashara yanayouzunguka mtandaoni(ambayo yaka kama 14) na nimeona mengi hayana mashiko, hayaeleweki au ni vigumu kutekelezeka. Halafu madai ni mengi mno kiasi kwamba...
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akiongoza kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika...
Ndugu zangu Watanzania,
Zaidi ya mahujaji Elfu moja wamepoteza maisha katika mji wa Makka walikokuwa wamekwenda kuhiji kama sehemu ya kutimiza nguzo kuu tano kwa muislamu yeyote yule mwenye uwezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.