Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Miji ni michafu sana, biashara kila sehemu kila aina. Shagalabagala kila kona kasoro Ikulu tu. CCM wanadhani kwa kufanya hivi itaepuka lawama la wananchi kumbe ndio inabeba lawama. Raia mwenye...
1 Reactions
5 Replies
160 Views
Ofisi ya DAWASA Mbagala Rangitatu imeshindwa kwa makusudi kuwapatia maji wakazi wa Mbagala, ni nusu mwaka sasa wakazi wamekuwa katika mgao wa kupata maji mara moja kwa wiki! Mbagala inapata maji...
2 Reactions
6 Replies
174 Views
Rais Donald Trump ametangaza kuingia mkataba wa amani na Iran. Amefanya hivyo kwenye maadhimisho ya siku ya kuzaliwa kwake? Je, mkataba huu utafuatwa au kuvunjwa kama ilivyokuwa huko Gaza ambapo...
1 Reactions
23 Replies
395 Views
  • Redirect
Sikiliza
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Sheikh anatoa nasaaha nzito akitaka kuwepo kwa uwazi kabisa kuhusu mambo ya Muungano ili kuondoa migogoro na migawanyiko kati ya wananchi wa Tanzania Bara (Tanganyika) na Zanzibar. Anatoa wito wa...
0 Reactions
Replies
Views
Hili ni suala la msingi sana ambalo linatakiwa kupatiwa majibu. Wamepotea watu ambao kama taifa watu wanahuzuni kubwa sana. Humphrey Poleole, Azory Gwanda na wengine wengi wanahuzunisha taifa kwa...
2 Reactions
2 Replies
150 Views
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha ajaye. Inasemekana Wizara haiwezi kwenda bila huyu. Inasemekana bila huyu Waziri wa fedha Mzanzibari hawezitoboa.
7 Reactions
21 Replies
725 Views
Napendekeza pasiwepo na huruma, aibu wala kumuonea haya yeyote yule atakae thubutu au kujitia kimbelembele kujaribu kuvuruga amani au kutatiza shughuli za uzalishaji za waTanzania kote nchini...
1 Reactions
4 Replies
158 Views
Andrew Nyerere ambaye ni Mtoto wa Mwalimu Nyerere anaeleza haya kupitia akaunti yake ya Facebook -- Hapa nadhani kuna fundamental ignorance kuhusu matatizo yanayotukabili. Fundamental ignorance...
5 Reactions
19 Replies
514 Views
Anonymous
Tunaomba JamiiForums itusaidie kupaza sauti zetu kwa TAKUKURU ili ichunguze tuhuma za rushwa katika Ofisi za Ardhi, Arusha. Wananchi wengi wanakumbana na changamoto kubwa wanapohitaji hati za...
0 Reactions
0 Replies
80 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, ametembelea familia ya Mwenyekiti wa BAVICHA Mkoa wa Iringa, Ibrahimu Myovela, ambaye kwa mujibu wa familia na chama hicho hajulikani alipo tangu...
0 Reactions
2 Replies
202 Views
https://www.youtube.com/live/Ex4phmqWLxY?si=-kvbHkryi4LV2ROJ Video: MATUKIO DAIMA MEDIA Makamu Mwenyekiti wa chama cha Demokrasi na maendeleo (Chadema) John Heche ametaka jeshi mkoa wa Iringa...
4 Reactions
5 Replies
230 Views
Kupitia Taarifa kwa umma iliyotolewa leo Desemba 26, 2025 Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinakemea vikali wimbi la ukamataji viongozi linaloendelea katika Kanda ya Serengeti...
3 Reactions
1 Replies
252 Views
Chaguzi zote tumewachapa, hata 2030 tutawachapa, sisi sio chama cha matukio Kihongosi akizungumza na wanahabari leo 13 Juni, 2026 amesema kuwa Wakati wa kuanzishwa vyama vingi Mwalimu Nyerere...
1 Reactions
13 Replies
274 Views
Sigrada Wilhem Mligo Mbunge wa Viti Maalum anayewakilisha Mkoa wa Njombe, CHAUMMA akichangia bungeni ameitaka Serikali kupunguza matumizi ili pesa zielekezwe kwenye miradi kusaidia wananchi...
1 Reactions
4 Replies
140 Views
Objection ya CCM dhidi ya uwepo wa Serikali ya Tanganyika ni baseless (or at least outdated). Hapa duniani ipo mifano kadhaa ya nchi ambazo zina muungano unaofuata mfumo wa shirikisho (federal...
5 Reactions
12 Replies
233 Views
Chalamila, na wengine wowote wanaodhani kwamba wataweza kuzuia mabadiliko kwa kukutumia vitisho. Hiki ni kizazi kipya, ni tofauti sana na sisi.
2 Reactions
13 Replies
168 Views
Ni mimi kijana wenu mdogo niliyebarikiwa na Mwenyezi Mungu nitaibadilisha Tanzania
0 Reactions
0 Replies
60 Views
Mbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby ameikosoa mfumo wa utoaji wa leseni kwa waendesha bodaboda, akidai kuwa gharama zinazohusiana na mafunzo na upatikanaji wa leseni ni kubwa na zinawaumiza vijana...
0 Reactions
1 Replies
167 Views
Nawaonya vijana maana nyinyi ndiyo mnashikika masikio kirahisi msije mkajaribu kuratibu, kupanga na kuandamana tarehe 7.7.2026 kutakua kuna show ambayo haijawahi kutokea. Vyombo vya Ulinzi na...
6 Reactions
64 Replies
2K Views
Back
Top Bottom