Bajeti ya Tanzania Mzima ni 31 Trilion means kila mtanzania Ana ratio ya 460,000. Na wazanzibari ni 8.5 Trilion Means kwa ratio mzanzibari Ana 6,580,000 (Plus 460,000 zile za watanzania maana nao...
Waweza kuingia hata tovuti za Necta kuthibitisha hayo, miaka nenda miaka rudi nafasi za mwisho huwa ni Zanzibar.
Kwa wale wanaofika vuoni ambao asilimia kubwa husomea Bara, uwezo wao ni wa...
JMT!
Hivi karibuni kumetokea Sintofahamu baada ya mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo machachari sheikh Said issa mohamedi kufukuzwa uanachama na chama chake kwa madai mbali mbali...
https://youtu.be/fQ599jLDuzs?si=IjRry0Ag8mFp7rd-
Nimejiuliza Sana swaali hili na kukosa majibu, kwa nini?
Nisemapo wenye CCM yao nadhani nimeeleweka, maana hii ya kina Samia, Kikwete na wapiga...
Nimedokezwa na kijana mmoja ambaye yupo Chuo kikuu kimoja hapa nchini.
Anadai kuwa vijana kutoka Zanzibar wamemdokeza kuwa wao wanapata mikopo mara mbili. Yaani kutoka bodi ya mikopo ya...
Godfrey Polepole ambaye ni mdogo wa Humphrey Polepole ametishia kuweka wazi ufisadi unaofanywa na ndege za rais Gulf Stream 550 na Gulf Stream 700 kama wasipo muachia Balozi Humphrey Polepole...
Anaandika Max Mello
“Leo, Juni 11, 2026 nimepata ugeni wa vijana kutoka Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School)
Walionitembelea ofisini kutaka kujifunza masuala...
Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Wananchi na Watumishi tunapata changamoto sana hasa tunapohitaji huduma ya Mkurugenzi (DED), zinaweza pita siku 5 hupati huduma unaambiwa hayupo na hajakaimisha...
Tusibaki kinyonge JF ili tuje kuwa sehemu ya historia.. Mitandao mingine imeshakiwasha na kampeni inaenda vema sana...
Challenge yetu ni kufikisha replies 3000 by Jumatatu na comments zake ni
NO...
Finally cheo cha urais kitampata mtu sahihi na ninadeclare kwamba niko kwenye Team mzee Jangala katika harakati hizi. Najua wengi wataleta dharau zao lakini hao wanaojiita wasomi wameifanyia nini...
Napinga kwa sababu moja kubwa uhalisia wa maisha ya Watanzania na anachokisema huyu kada wa CCM ambae amerithi uCCM toka kwa wazazi wake ambao walikuwa watumishi wa CCM ni uongo mtupu.
Fikiria...
It's me JamiiForums member (Nina Akili Ndogo Sana)
Habari za wakati huu,
Ndugu zangu.
Bila shaka wote mpo wazima kabisa wa afya na poleni sana kwa shughuli za ujenzi wa taifa.
Katika kipindi...
Je, Pinda ameenda kutuliza Zanzibar? Maana yule kachero Zee la Chama na Serikali
Pinda ni nani
Mzee flani kachelo au mzee wa misimamo?
---
RAIS DKT. MWINYI :SMZ KUENDELEA KUUNGA MKONO JUHUDI...
Hili halipingiki kabisa maana Watanzania wengi hawafurahi kwa Kwa rais Samia kuwa madarakani.
Wanasema yupo kwa sababu ya kiongozi mstaafu yaani Jakaya Kikwete.
Alafu hakubaliki na kila...
Wazanzibar wana viongozi wao ambao hawana chembe za rushwa na ufisadi, viongozi wao wana huruma na utu na wamejaa haki .
Ndio maana kodi za forodha Zanzibar ziko chini kuliko sehemu nyingi Afrika...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, alipokuwa akizungumza katika mahojiano kwenye kipindi cha Dakika 45 kinachorushwa na kituo cha televisheni cha ITV, Juni 8, 2026, ametoa wito...
IGP mstaafu, ndugu Omary Mahita, amenukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari, akidai, kuteuliwa kwa mrithi wake ndugu Said Mwema kuligubikwa na figisu za kujuana baina ya Kikwete na Mwema...
Polisi wametanda hapa Mahakamani utafikiri kuna jambo la uasi linataka kutokea.
Kesi ya Lissu haipo leo ila kwa hali hii mashaka ni makubwa sana kwamba wanaweza kumleta Lissu hapa na kumuachia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.