Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwenye tukio la October 29, 2025 Walioua ni watanzania, waliouliwa ni watanzania na mali zilizoharibiwa ni mali za watanzania wote kwa ujumla wao. Mimi sioni haja ya maridhiano; maana huku mitaani...
6 Reactions
117 Replies
954 Views
Eti ndugu zangu, my friends, ladies and gentlemen, natamani kufahamu, Zile porojo na vitisho useless vya bunge la Seneti ya Marekani na bunge la Ulaya dhidi ya serikali sikivu ya CCM na maafisa...
4 Reactions
54 Replies
380 Views
Kabla ya kufanya jambo lolote ushauri wangu inabidi akacheck afya yake nje uko wahuni sio watu wazuri.
3 Reactions
4 Replies
62 Views
Sasa inaelekea Siku ya saba tangu zimesambaa taarifa kuwa ametekwa/amekamatwa Kijana Titho Philemon Dyakiye, Mzaliwa wa Wilaya ya Ngara. Mpaka sasa haijajulikana ana kosa gani kwani hajafikishwa...
0 Reactions
2 Replies
198 Views
Wanakusanya Kodi halafu wanazitumia hovyo na kuzifuja kama Mali zao binafsi. Wakihojiwa wanataharuki. Serikali ya Tanzania siyo Mali ya CCM.
0 Reactions
3 Replies
33 Views
  • Featured
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema Ajenda ya Katiba Mpya sio Ajenda ya Wapinzani bali ni ajenda ya Chama cha Mapinduzi (CCM) iliyoanza tangu Awamu ya Nne chini ya Uongozi...
3 Reactions
39 Replies
728 Views
Lissu kua mwenyekiti wa Chadema ilikua big mistake sana kwa sisi CCM hapo ndo tulitakiwa kuboresha siasa na kubadilika kuja kwenye siasa za kweli za kushindana kwa hoja kutoka na karne hii ya...
11 Reactions
20 Replies
311 Views
Nataka kujua umuhimu wa hili tamasha kwa Watanganyika ambao hadi leo taifa lao limepotezwa. Hawana uhakika wa maji salama, barabara ni tatizo kubwa vijijini na mijini. Watanganyika wapo zaidi ya...
2 Reactions
13 Replies
154 Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mipango na Uwekezaji), Mheshimiwa Prof. Kitila Mkumbo, amewakaribisha rasmi wawekezaji kutoka nchini Saudi Arabia kuwekeza katika sekta mbalimbali za kimkakati...
1 Reactions
0 Replies
74 Views
Akae rada sana
13 Reactions
56 Replies
2K Views
  • Redirect
Anaandika Malisa GJ Tume ya Uchaguzi nchini Zambia (ECZ) imemtangaza Hakainde Hichilema wa chama cha UPND kuwa mshindi wa kiti cha Urais wa nchi hiyo kwa kura 2,965,326 sawa na 60.1%, akifuatiwa...
6 Reactions
Replies
Views
CCM wakishaamua jambo lao hakuna wa kupindua Tanzania. 1. Kwanza kura zitaibwa hatopata ata asilimia 40 ya kura. 2. Atapewa kesi za kigaidi kama lissu au Uasi au silaa. Cuf walishaletewa kontena...
1 Reactions
5 Replies
132 Views
Waziri Nanauka anaonekana na msafara wake anazunguka vijiweni, Stendi kusikiliza kero za Vijana. Je huu utaratibu utachukua muda gani ili kupata maoni ya vijana kwa nchi nzima?
2 Reactions
21 Replies
483 Views
Wanabodi Mwaka huu 2026, JF imetimiza miaka 20, kwanza nilishauri, wale wanachama waanzilishi wote wa jf waliojiunga mwaka 2006, wawe recognized, wapewe a token of appreciation, na kuingia kwenye...
30 Reactions
90 Replies
989 Views
Baada ya kukubaliana namna ya kuondoa kesi na ili isionekane kuwa serikali alimbambikia kesi "atapewa" kesi ya kujibu kisha muda mfupi baada ya kuanza utetezi ndipo DPP ataleta ile "taarifa"...
8 Reactions
71 Replies
1K Views
Wanabodi, Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi. Dr Batilda Burian, anwakaribisha wana Tanga na vitongoji vyake, kufika kwennye uzinduzi rasmi wa Wiki ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu, unaofanyika kesho...
1 Reactions
3 Replies
86 Views
Kwa ujumla huku ni kuleta siasa kwenye mpira. Na ni kinyume na misingi ya Fifa inayozuia kuingiza siasa kwenye soccer👇
0 Reactions
16 Replies
146 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, amesema tayari amekutana na aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, tangu uchaguzi ulipomalizika na kufanya naye mazungumzo marefu nyumbani...
16 Reactions
31 Replies
607 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…