Aisee, nani angeweza kujua kuwa ndani ya CHADEMA kuna ujambazi wa kutisha wa fedha za wanachama na wananchi. Hiki kinyang'anyiro cha kugombea uenyekiti wa chama umeibua mambo mazito na kukianika...
Kwa kitendo alichokisema Mnyika ni utoto tu, suala la fidia lilisha shughulikiwa muda na mahakama kuu na Mnyika analijua hilo na suala la vyuma kukaza mara demokrasia pale hapakuwa mahala pake...
Ndugu zangu,
Ajizi nyumba ya njaa,mambo yanaenda kasi sana,kabla ya kuvunjwa bunge mwaka 2015 Chadema walingumzia mambo yanayotakiwa kufanyika ili Tanzania na wananchi wake wanufaika na hakika...
Mwanazuoni na Waziri wa zamani, Profesa Anna Tibaijuka, amesema haiwezekani kuwazuia vijana kuandamana wanapokuwa na hasira zinazotokana na kero mbalimbali zinazowakabili katika jamii...
Hapa kijijini kwetu kuna muungano wa familia mbili unashangaza sana, huu muungano ulianzishwa Mara tu baada ya simba alokuwa akila watu kufukuzwa, familia zikabaki na hofu kubwa sana,
Sasa...
Kikosi cha Wanajeshi kutoka Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kimewasili nchini Comoro, ambapo kinatarajiwa kushiriki maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa nchi hiyo yatakayohudhuriwa...
Tanzania ina changamoto za ufisadi, rushwa na ubadhirifu wa mali za umma, kama zilivyo nchi nyingi duniani. Hata hivyo, ukubwa na aina ya matatizo hayo hutofautiana kati ya sekta na kipindi...
Mnyika ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na wananchi wa Masasi leo Ijumaa Juni 19, 2026 kwenye muendelezo wa ziara za Chama hicho Kanda ya Kusini, akiliita jambo hilo kama kihoja kinachofanywa...
Wanajukwaa, nina imani wote mko sawa.
Pasipo kupoteza muda, naomba niingie kwenye mada tajwa hapo juu.
Binadam kwa kawaida, huwa na hulka ya kulipiza kisasi kwa aliyemkosea au adui yake. Hiki...
Profesa Anna Tibaijuka amesema polisi wana haki ya kuhoji kauli au jambo lisiloeleweka wanapohisi linaweza kuwa na viashiria vya uchochezi au kusababisha vurugu.
"Polisi akisikia jambo...
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazozalisha chakula kwa wingi katika ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika, hali inayofungua fursa kubwa ya...
Mbunge wa jimbo la Mbogwe mkoa wa Grita Fagason Nkingwa ana umri wa miaka 36, wake 3 na watoto 16.
Hakika anatekeleza agizo la Mungu kwenye Mwanzo 1:28; Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia...
Profesa Anna Tibaijuka amesema haridhishwi na mwenendo wa kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, akieleza kuwa mchakato wake unaonekana kwenda polepole kuliko matarajio ya wengi.
"Tundu...
Hamjambo!
Ukweli unatabia nyingi. Ukweli kiasili ni katili na haujali.
Ukweli hauhitaji validation.
Ukweli ni dawa ukitolewa kwa wakati sahihi na mtu sahihi.
Hata hivyo ukweli haujali kuhusu...
Nilipotembelea Zanzibar hivi karibuni, nilibaki na maswali mengi kuhusu hali ya ACT Wazalendo. Chama ambacho kilikuwa na mvuto mkubwa wa kisiasa, kilichokuwa na mikutano yenye hamasa, matawi yenye...
Watanganyika wote walioko Zanzibar ni tumbo Joto. Waanza kuzuiwa kuingia Ofisini kufanya kazi. Iinadaiwa wanafanya kazi za Wazanzibar na Vijana wa Zanzibar wanakaa jobless.
MY TAKE
Watanganyika...
Nianze kwa Istilahi hii ngeni.
Mamlaka ya Kiraia.
istilahi hii inapaswa kuwa ndio mwelekeo wa Watz wanaporefer maana ya Serikali.
kwani kunekuwa na upotofu kuwa Serikali ni Watendaji wa...