Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Closed
Bismillahir Rahmanir Rahiim SHURA YA MAIMAMU TANZANIA WARAKA [MWONGOZO] UCHAGUZI MKUU WA TAIFA OKTOBA 2020 TANZANIA Umetolewa leo Tarehe 09. 07. 2020. UTANGULIZI Ugonjwa wa Korona – COVID-19...
30 Reactions
382 Replies
48K Views
Sitaki kuleta porojo, muda wa maneno matupu umekwisha, kwa sasa ni vitendo, ushahidi huu hapa
29 Reactions
67 Replies
11K Views
Henry Kilewo ni Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Kichama Kinondoni pia ni Katibu wa Dar es salaam Kuu, Mjumbe Baraza kuu na Mkutano Mkuu Taifa. Hapa akikabidhi fomu yake kwa Katibu wa Wilaya Mh...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Hakuna haja yoyote ya kumwelezea huyu mtu, anafahamika, kikubwa ni kutambulisha jimbo analolinyemelea , baaaasiiii == John Mrema ni Mkurugenzi wa mawasiliano na mambo ya nje wa Chadema
10 Reactions
31 Replies
4K Views
Wana JF, Kuna Wazee wengi mfano wa Wassira bado wana uchu wa kuingia bungeni, Wazee kama Mkuchika piga chini wazee wote kwani ndio waliotudhooofisha kwenye kwenye maendeleo kwenye miaka...
5 Reactions
36 Replies
3K Views
Daniel Naftali alikuwa Mgombea Ubunge Jimbo la KWELA kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 Daniel Naftali. Huyu kijana alinyang'anywa ubunge 2015 kwa mtutu wa bunduki. Kila mwananchi wa jimbo lake...
8 Reactions
12 Replies
3K Views
Kwa muda mrefu nimekuwa nikimfuatilia ndugu yetu na Mtanzania mwenzetu Bernard Membe katika harakati zake za kuutafuta Urais wa JMT. Kwa sasa nimefanikiwa kung’amua sifa zake tano (5) ambazo...
24 Reactions
77 Replies
8K Views
Wasikate tamaa watengeneze sera thabiti na madhubuti bila kuingiza agenda nyingine zisizofaa kama kejeli ,matusi na chuki juu ya chama tawala katika mioyo ya wananchi . Wasipoweza kuchukua nchi...
1 Reactions
7 Replies
837 Views
Chama cha wananchi (CUF) Jimbo la Arumeru Magharibi, Mkoa wa Arusha kimempitisha kwa kishindo Bi. Arafa Muya kuwa Mgombea wa nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Arumeru Magharibi. Akitangazwa rasmi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Huyu kamanda ndiye alikuwa Meya wa Manispaa ya Bukoba, uko uzi humu JF ulioonyesha kwamba Bashiru Ally akishirikiana na Waziri wa fedha walishindwa kumshwawishi huyu kamanda kujiuza.
13 Reactions
42 Replies
6K Views
Sitaelezea kwa undani lakini pamoja na nguvu ya dola CCM wenyewe wanajua hali si shwari. Zaidi sana kuna mambo ambayo hawajui yanafuta nyaso zao za mambo makubwa ambayo wameyafanya kwa wananchi...
25 Reactions
67 Replies
5K Views
Jamaa huyo hapo baada ya kujikomba kwa mkuu hatimaye amevaa jezi kabisa. Anaenda kuomba ubunge huko Butiama.
4 Reactions
40 Replies
5K Views
Ni aibu karne ya leo kupokea baiskeli, chumvi, T-shirt kama kichocheo cha kutoa kura yako. Tumesikia Wabunge kadhaa tena wa Chama chetu Tawala wakishikiliwa na Takukuru kisa ni kutoa rushwa. Ni...
1 Reactions
0 Replies
814 Views
Ni wakati wa kizazi kipya sasa kushika hatamu za Uongozi hasa kupitia ngazi za Ubunge. Marietha Bee ametia nia kuomba uteuzi viti maalumu CCM Mkoa wa Manyara. Dhamira yake kubwa ni kutatua kero...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Joshua Lawrence kutoka mkoani Mbeya, amechukua fomu ya kuwania kugombea Urais kupitia chama cha ACTwazalendo. Kasema endapo atapewa ridhaa ya kuongoza nchi, atashughulikia mambo 2 ikiwemo kilimo...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa CUF Wilaya ya Ubungo Mhe. Bashiri Ally ametia nia Kugombea Ubunge Jimbo la Handeni Vijijini Mkoani Tanga.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Arusha, Reginald Massawe amesema mbunge wa zamani wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari alimtumia ujumbe mfupi akiuliza kama anaweza kuhakikishiwa nafasi ya kupewa nafasi...
9 Reactions
67 Replies
8K Views
Msafara wa aliyekuwa Mbunge wa Viti maalum Catherine Ruge wa CHADEMA Mkoani Mara umezuiliwa kwa kupigwa Mabomu na Jeshi la Polisi Wilayani Serengeti kipindi akirejesha fomu ya Kuwania Ubunge...
12 Reactions
59 Replies
9K Views
Leonard Toja Manyama amejitokeza kuchukua fomu ya kugombea Urais kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Bwana Manyama ni mwalimu na mtaalam wa mipango miji, kauli mbiu yake niamini...
6 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom