mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Wana JF,
Kuna Wazee wengi mfano wa Wassira bado wana uchu wa kuingia bungeni, Wazee kama Mkuchika piga chini wazee wote kwani ndio waliotudhooofisha kwenye kwenye maendeleo kwenye miaka waliohudumu walikuwa ni ndiyooo kwenda mbele, hawa wazee so kwamba wana lolote Bali ndio waliotengeneza CCM masilahi, bila kutengeneza ccm chotara kwa kuwaweka vijana wenye akili wangekukwamisha juhudi zako za maendeleo.
Wazee hawa ndio wenye mawazo ya kisangoma ndio maana waganga wajadi uchwara wametapakaza vibao vingi mjini. Naomba tena vizee vipige chini kwenye kura za maoni
Kuna Wazee wengi mfano wa Wassira bado wana uchu wa kuingia bungeni, Wazee kama Mkuchika piga chini wazee wote kwani ndio waliotudhooofisha kwenye kwenye maendeleo kwenye miaka waliohudumu walikuwa ni ndiyooo kwenda mbele, hawa wazee so kwamba wana lolote Bali ndio waliotengeneza CCM masilahi, bila kutengeneza ccm chotara kwa kuwaweka vijana wenye akili wangekukwamisha juhudi zako za maendeleo.
Wazee hawa ndio wenye mawazo ya kisangoma ndio maana waganga wajadi uchwara wametapakaza vibao vingi mjini. Naomba tena vizee vipige chini kwenye kura za maoni