Uchaguzi 2020 Baada ya Heche na Matiko kurejesha fomu za kuomba Ubunge, Tarime yafumuka kwa shangwe, mitaa yafurika wananchi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,369
217,429
Ushahidi huu hapa

Subpost 3 - Ofisi ya chadema wilaya ya Tarime sehemu ya watu waliowasindikiza Jo ( 799 X 640 ).jpg
Subpost 2 - Ofisi ya chadema wilaya ya Tarime sehemu ya watu waliowasindikiza Jo ( 799 X 640 ).jpg
 
Nafikiri kuwa wale wasiojulikana wavamie mkutano wowote wa wagombea wa ccm na kuuwa hata 20 tuone kama watakuwa wajasiri.
 
Malizeni vurugu zenu tukitoka Dodoma muwemshamaliza utotowenu.wazee wa kazi tujetuondoe uchafu mlioacha mitaani.

Mlioko Dodoma ni wanawake, mbeleko zenu halisi bado ziko, ndio hizo zinatumia bunduki huko.
 
Back
Top Bottom