Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 217,997
Huyu kijana alinyang'anywa ubunge 2015 kwa mtutu wa bunduki. Kila mwananchi wa jimbo lake anafahamu kwamba alishinda kwa kishindo, bali ulifanyika uchakachuaji wa kishamba sana, wengi waliosimamia uchakachuaji ule wamekufa kwa kupigwa na radi kutokana na laana ya Mungu aliye hai.
Labda kwa kukumbusha, huyu ndio kijana aliyehamasisha kundi la kumshawishi Mh Mbowe (MWAMBA TUVUSHE) kugombea tena Uenyekiti wa Chadema, na alihakikisha Mh Mbowe anachukuliwa fomu na kupelekewa nyumbani kwake na kuijaza.