Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,558
- 217,859
Hapa akikabidhi fomu yake kwa Katibu wa Wilaya Mh Lembruce Mchome aliyekamatwa na kuweka mahabusu kwa tuhuma za kupiga picha gari la mkurugenzi wa TISS lakini akashitakiwa kwa kusambaza picha za ngono ! kesi ingali bado ipo mahakamani