Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Baadhi ya watu wanadhani fursa za huu utalii tena wa mikoa mingine unatakiwa kunufaisha kwao tu Ni vita kubwa sana hii, kwa sasa tunasikia milio kila muda panaposikika habari za ujenzi wa uwanja...
6 Reactions
95 Replies
2K Views
Mbunge wa Baraza la Wawakilishi na Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu, Simai Mohammed Said akihojiwa na waandishi wa habari baada ya kupitisha bajeti kuu ya Serikali leo Juni 23, amekwepa kumtaja Yuda...
2 Reactions
32 Replies
670 Views
Natafakari sana kauli hii ilimaanisha nini? Uzi tayari
0 Reactions
0 Replies
81 Views
Indicator iwe ni kero ya ardhi mkoani na wilayani kwake; mfukuze. Wakuu wa Mikoa na Wilaya kama watafanyakazi za kuhudumia wananchi vizuri badala ya kujihudumia wao wenyewe hautakuwa na sababu ya...
0 Reactions
10 Replies
189 Views
Mara nyingi serikali umesema haihusiki na vitendo vya kuteka na kuuwa raia wake ila kwa muongo sasa vitendo hivyo vimeshamiri nchini. Nakumbuka Waziri mkuu ndugu Nchemba alisema kuwa utekaji na...
7 Reactions
16 Replies
200 Views
Sawa ni kazi nzuri wanaifanya EU, lkn maneno maneno, vikao hawa watu hawayaogopi! Wanaogopa kufa ingawa wao wanaua! madikiteita wanataka vitendo. Madulo asingelitoka bila vitendo, maana USA...
2 Reactions
7 Replies
130 Views
Kwanza sio LAZIMA Kila kitu tusubiri viongozi wananchi wenyewe wajiorganize hapo waone namna ya kutatua hiyo changamoto Pia uvumilivu ni jambo la muhimu sana Bora kuchota maji na ndoo ziwani Kwa...
5 Reactions
37 Replies
454 Views
Kwa miaka mingi suala la utekaji na kupotea kwa watu si jambo geni kwa sisi tuliokula chumvi nyingi kwa sababu mbalimbali Kwa sasa msukumo mkubwa umekuja kwa kuimarika technology na vijana wengi...
3 Reactions
10 Replies
387 Views
Wanabodi Hii ni makala yangu kwenye gazeti la NIPASHE la leo 1/09/2024 Kama kawa kila nipatapo fursa huja na makala zangu elimishi za Kwa Maslahi ya Taifa ambazo huwa na swali, hoja kisha jibu...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Wanabodi, Mafundisho yote ya dini yanafundisha kuwa "Mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari, na Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu", kwa lengo la kuwathibitishia waumini wote wa dini zote kuwa tawala...
3 Reactions
61 Replies
7K Views
Baadhi ya askari wa jeshi la polisi wakitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) na kamanda wa polisi mkoa wa Tabora, Richard George Abwao aliyefariki...
7 Reactions
6 Replies
241 Views
Nashauri Serikali iunde kitengo maalumu cha kutathmini utendaji wa taasisi za umma na kupokea malalamiko pamoja na maoni ya wananchi. Kitengo hiki kiwe na ofisi hadi ngazi ya wilaya na kiwe na...
6 Reactions
55 Replies
644 Views
NILITEMBELEA MAKABURI YA WATAKATIFU AMBAYO KISIASA HUITWA MASHUJAA Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Taikon wa Fasihi. Basi nikasema, mimi naam ndio mimi mwenyewe. Nitaenda kwenye makaburi...
2 Reactions
0 Replies
74 Views
Wanabodi Makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi Jumatano ya leo. Nimezungumzia kuhusu kilichotokea October 29, kimechangiwa na kauli za viongozi, hivyo nimetoa wito kwa Media na Secretarieti ya...
3 Reactions
8 Replies
238 Views
Inakuwaje wazee wa udhibiti? Hebu tuongee uhalisia bila kuficha makucha hapa. Hivi mnafikiria kwa kutumia akili au mmeamua tu kufuata bureaucratic reflexes ambazo hazina mashiko kwenye karne hii...
0 Reactions
2 Replies
113 Views
Inaonekena kuwa ujenzi wa stendi ya mabasi ya magufuli jijini Dar ilijengwa bila kuwashirikisha wadau. Haizingatii desturi, mazoea, utamaduni, uchumi na utaratibu wa wadau. Ninapotaka kusafiri...
8 Reactions
54 Replies
1K Views
Kwa haya yaliyosemwa na shehe mwaipopo umma Sasa unaamini serikali inalea vikundi vya kigaidi. Na matukio yote ya utekaji yalifanywa na serikali kupitia organ zake kwasababu ingekuwa sio hivyo...
11 Reactions
76 Replies
1K Views
  • Featured
Waziri mstaafu na Mchumi, Profesa Anna Tibaijuka, ameeleza kusikitishwa kwake na wimbi la watu kupotea nchini na kulani vitendo hivyo akivitaja kama doa kubwa kwa taifa. "Kazi ya kwanza ya...
19 Reactions
33 Replies
773 Views
Maneno mengi hayavunji mfupa , Subirini video zipandishwe Jukwaani mjionee wenyewe Kiukweli CCM imekwisha na hata wenyewe wanajua hata hivyo vyombo vya dola vimechoka kubeba "Maiti" Mgongoni...
16 Reactions
45 Replies
797 Views
Maandamano sio njia sahihi ya kuleta mabadiliko kwa sababu utasababisha umwagaji damu jambo ambalo ni mtaji kwa hao watu. Mfano maandamano yaliyopita hajakuleta mabadiliko bali wadhalimu...
3 Reactions
64 Replies
592 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…