Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,076
- 859,173
Maadhimisho ya mwaka huu ni ya kihistoria kwani yanasherehekea Jubilei ya Dhahabu (Miaka 50) tangu kuanzishwa kwa maonyesho haya.
Kuna kitu kinajiinua hapa.. Kutokana na kuwepo tetesi/maandalizi ya maandamano ambayo ni haki kikatiba
Vitisho vimeshaanza kutolewa kila kona.. Ni wazi kuna maandalizi ovu yanaandaliwa na kuratibiwa na "watu wasiojulikana" ili kukabiliana na waandamanaji
Kuna hiki kikosi kinachojiita mbwamwitu. Ni wazi kimejiandaa kwa vita ama kusababisha madhara makubwa kwa waandamanaji
Lakini je hiki kikosi sio tusi na dhihaka kwa vyombo vyetu vya usalama?
Kwamba haviaminiwi(ki)??
Ni nani wana kifadhili?
Ni wazi kitapewa silaha.. Zitakuwa zimetoka wapi?
Ni wazi kiko mafunzoni! Ni mafunzo ya aina gani?
Je kitakapoanza kuumiza waandamanaji na vyombo kuongilia kati ama kugawanyika nini kitatokea?
Je waandamanaji nao watakapoamua kujihami na kujibu kwa nguvu ileile nini kitatokea?
Wasikilizeni hapa
Kuna kitu kinajiinua hapa.. Kutokana na kuwepo tetesi/maandalizi ya maandamano ambayo ni haki kikatiba
Vitisho vimeshaanza kutolewa kila kona.. Ni wazi kuna maandalizi ovu yanaandaliwa na kuratibiwa na "watu wasiojulikana" ili kukabiliana na waandamanaji
Kuna hiki kikosi kinachojiita mbwamwitu. Ni wazi kimejiandaa kwa vita ama kusababisha madhara makubwa kwa waandamanaji
Lakini je hiki kikosi sio tusi na dhihaka kwa vyombo vyetu vya usalama?
Kwamba haviaminiwi(ki)??
Ni nani wana kifadhili?
Ni wazi kitapewa silaha.. Zitakuwa zimetoka wapi?
Ni wazi kiko mafunzoni! Ni mafunzo ya aina gani?
Je kitakapoanza kuumiza waandamanaji na vyombo kuongilia kati ama kugawanyika nini kitatokea?
Je waandamanaji nao watakapoamua kujihami na kujibu kwa nguvu ileile nini kitatokea?
Wasikilizeni hapa