Kuelekea 7/7 (Jubilee ya Dhahabu)

Kuelekea 7/7 (Jubilee ya Dhahabu)

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,076
Reaction score
859,173
Maadhimisho ya mwaka huu ni ya kihistoria kwani yanasherehekea Jubilei ya Dhahabu (Miaka 50) tangu kuanzishwa kwa maonyesho haya.
Kuna kitu kinajiinua hapa.. Kutokana na kuwepo tetesi/maandalizi ya maandamano ambayo ni haki kikatiba

Vitisho vimeshaanza kutolewa kila kona.. Ni wazi kuna maandalizi ovu yanaandaliwa na kuratibiwa na "watu wasiojulikana" ili kukabiliana na waandamanaji

Kuna hiki kikosi kinachojiita mbwamwitu. Ni wazi kimejiandaa kwa vita ama kusababisha madhara makubwa kwa waandamanaji

Lakini je hiki kikosi sio tusi na dhihaka kwa vyombo vyetu vya usalama?
Kwamba haviaminiwi(ki)??
Ni nani wana kifadhili?
Ni wazi kitapewa silaha.. Zitakuwa zimetoka wapi?
Ni wazi kiko mafunzoni! Ni mafunzo ya aina gani?

Je kitakapoanza kuumiza waandamanaji na vyombo kuongilia kati ama kugawanyika nini kitatokea?

Je waandamanaji nao watakapoamua kujihami na kujibu kwa nguvu ileile nini kitatokea?
Wasikilizeni hapa
 
Mwingine huyu hapa
IMG-20260621-WA0097.jpg
 
Maadhimisho ya mwaka huu ni ya kihistoria kwani yanasherehekea Jubilei ya Dhahabu (Miaka 50) tangu kuanzishwa kwa maonyesho haya.
Kuna kitu kinajiinua hapa.. Kutokana na kuwepo tetesi/maandalizi ya maandamano ambayo ni haki kikatiba

Vitisho vimeshaanza kutolewa kila kona.. Ni wazi kuna maandalizi ovu yanaandaliwa na kuratibiwa na "watu wasiojulikana" ili kukabiliana na waandamanaji

Kuna hiki kikosi kinachojiita mbwamwitu. Ni wazi kimejiandaa kwa vita ama kusababisha madhara makubwa kwa waandamanaji

Lakini je hiki kikosi sio tusi na dhihaka kwa vyombo vyetu vya usalama?
Kwamba haviaminiwi(ki)??
Ni nani wana kifadhili?
Ni wazi kitapewa silaha.. Zitakuwa zimetoka wapi?
Ni wazi kiko mafunzoni! Ni mafunzo ya aina gani?

Je kitakapoanza kuumiza waandamanaji na vyombo kuongilia kati ama kugawanyika nini kitatokea?

Je waandamanaji nao watakapoamua kujihami na kujibu kwa nguvu ileile nini kitatokea?
Wasikilizeni hapaView attachment 3612541
When the day of reckoning comes, every mazafaka will be held to account for his actions!
 
Maadhimisho ya mwaka huu ni ya kihistoria kwani yanasherehekea Jubilei ya Dhahabu (Miaka 50) tangu kuanzishwa kwa maonyesho haya.
Kuna kitu kinajiinua hapa.. Kutokana na kuwepo tetesi/maandalizi ya maandamano ambayo ni haki kikatiba

Vitisho vimeshaanza kutolewa kila kona.. Ni wazi kuna maandalizi ovu yanaandaliwa na kuratibiwa na "watu wasiojulikana" ili kukabiliana na waandamanaji

Kuna hiki kikosi kinachojiita mbwamwitu. Ni wazi kimejiandaa kwa vita ama kusababisha madhara makubwa kwa waandamanaji

Lakini je hiki kikosi sio tusi na dhihaka kwa vyombo vyetu vya usalama?
Kwamba haviaminiwi(ki)??
Ni nani wana kifadhili?
Ni wazi kitapewa silaha.. Zitakuwa zimetoka wapi?
Ni wazi kiko mafunzoni! Ni mafunzo ya aina gani?

Je kitakapoanza kuumiza waandamanaji na vyombo kuongilia kati ama kugawanyika nini kitatokea?

Je waandamanaji nao watakapoamua kujihami na kujibu kwa nguvu ileile nini kitatokea?
Wasikilizeni hapaView attachment 3612541
pwagu anawapiga kamba mapwaguzi 🐒
 
it might be hawa ni content creators ambao makonda alipewa 2 billion kuwaandaa na kwawezesha
Hapa nakupa heshima zote.

Hawa na wale "wakatoliki wa Vatikani" hawatofautiani chochote, isipokuwa hii ni more effective kutokana na yaliyotokea Oktoba.

Samia na Genge lake safari hii wameona kazi ya vitisho watumie njia hii kwa wao kuogopa kuwa washiriki wa wazi.
Mauaji yakitokea watadai wao hawahusiki, lakini wanasahau kwamba ukimya wao juu ya haya yanayosemwa, ndio ushiriki na uwezeshaji wa yatakayotokea.
 
it might be hawa ni content creators ambao makonda alipewa 2 billion kuwaandaa na kwawezesha
Hawa siyo content creators, hawa ni wajinga wanaotumiwa na Samia kwa kusingizia kuwa anapigwa vita kwa sababu ni mwislam. Hawa watu ni wapumbavu wasichojua wakifanyacho. Wako wengi kweli kweli na mpaka Kikwete yupo kwenye kundi.
 
Huyu sheikh ni Nani serikalini mpaka anatoa matamko namna hii. Na hiki kikosi amekiandaa kwa ajili gani anaumizwaje na maandamano mpaka aamue kuisaidia serikali kuyadhibiti.
Mahitaji ya nyakati.. Unamkumbuka Musiba?
 
Back
Top Bottom