Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hua namsikiliza sana Peter Msigwa na vichambo vyake dhidi ya CHADEMA sasa sijui tatizo ni ulimbukeni au ugeni au ushamba. Nijuavyo mimi vyama vyote vina matatizo. Ila ndugu Msigwa anataka...
1 Reactions
12 Replies
647 Views
Wanabodi, Hili ni swali tuu, Jee Kesho Ndio ile siku ya "Mene Mene Tekeli na Peresi!" ya CCM?!. Hata kama hulijui hili neno, "Mene Mene Tekeli na Peresi!" lina maana gani, au lina maanisha...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Wanabodi. Naendelea na zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa, zinazotoka kila siku ya Jumatatu kwenye gazeti la Raia Mwema, hili likiwa ni bandiko mwendelezo wa Licha ya CCM kuwa chanzo cha...
39 Reactions
102 Replies
13K Views
Wanabodi, Salaam. Kuanzia leo, hadi tarehe 24 October, kwa siku hizi 30+ zilizobakia kabla ya kufanyika uchaguzi, nitajitolea kutoa makala za uhamasishaji ili wana jf tujitokeze kwa wingi kwenda...
16 Reactions
49 Replies
9K Views
Yamesemwa mengi yakiwamo yasiyopendeza. Ila tuielewe sayansi hii: "Chawa wabagaza watu wale wale, wanaomwunga mkono mwamba leo kesho watatokea kumshangilia Lissu kwa sauti kubwa zaidi na hata...
3 Reactions
28 Replies
771 Views
Wakuu salam, Nimekuwa tu interested na hili baada ya kufanya maongezi na jamaa yangu fulani ndio ikaclick kuwa hili ni kweli, kwenye wasifu na historia ya Rais Samia inaanza alizaliwa wapi...
2 Reactions
31 Replies
1K Views
Hellow! Naona CHADEMA imeamua kutumia njia hii ya propaganda Ili kusababisha iteke tena mijadala yote kisiasa na vinywa vya watz baada ya kuepuka kifo Awamu ya Magu. CHADEMA imefanikiwa Kwa wiki...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Kwa mazingira ya sasa na Katiba yake Upinzani kushinda Urais ni ngumu sana ! Na wanalijua Hilo, Ila utashangaa kwanini baadhi wanakomalia madarakani? Faida za kuwa mwenyekiti wa Chama cha...
42 Reactions
54 Replies
3K Views
Wakuu, Heche ameandika haya kwenye ukurasa wake wa X Tuna jukumu la kihistoria la kuhakikisha tunaipatia Nchi yetu chama mbadala, na serikali mbadala itakayowatumikia watu na kuwaondoa katika...
3 Reactions
9 Replies
678 Views
Mwalimu Nyerere miaka ile 1995 alipoona sarakasi za siasa zenye lengo la kuidhoofisha Nchi, aliingia ulingoni na akawatamkia wapinzani kina Marehemu Mrema, maneno yafuatayo:- " I cant go to sleep...
0 Reactions
0 Replies
247 Views
Mwanachama wa Chadema, Waziri Mwanyevyale, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hiko Mkoa wa Ilala, amemtaka Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe kutoa tamko, kuhusu baadhi wa wanachama wa Chama...
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Kwa yanayoendelea kuhusu kutajwa moja kwa moja mtoto wa Rais kuhonga wanasiasa wanaoonekana kuleta ushindani kisiasa dhidi ya Rais (Mama yake) swali kuu tunalopaswa kujiuliza ni; Je System...
27 Reactions
65 Replies
3K Views
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba, Mwenyekiti wa Chadema anayemaliza muda wake, Freeman Mbowe, ataongea na Wahariri wa Vyombo vya habari (si waandishi wa kawaida) Mwamba ataongea na Wahariri hao...
6 Reactions
32 Replies
2K Views
Mbunge wa morogoro kusini masharik Babu tale atoa elf 50 Kwa kila mjumbe wa jimbo lake Zaid ya wajumbe 800. Huku alisema pesa hiyo sio rushwa bali imetoka mfukoni kwake mwenyewe Hii ingekua...
5 Reactions
43 Replies
2K Views
Wakuu, Ndio nilichokuwa nasema, CCM hata chawa anapewa anafundishishwa ili kwenye urpokaji wake akafanye kazi iliyotukuka jambo ambalo kwa upinzani wakosa, mwisho wa siku wanaishia kwenda ovyo...
0 Reactions
0 Replies
242 Views
Wakuu, Mkuu wa wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi, Onesmo Buswelu amewataka viongozi wa Serikali za vijiji na vitongoji kutojihusisha na uuzaji wa ardhi katika maeneo yao. Hayo yamejiri katika...
0 Reactions
0 Replies
245 Views
Wakuu, Mary ameenda kutoa onyo hilo huku akiwa mgeni mresmi wenye hafla ya kutoa 'zawadi' kwa wananchi, si ndio yale yale ama? Au ukiongozana na kiongozi mwingine ndio inaacha kuwa rushwa? =====...
0 Reactions
0 Replies
233 Views
Kwema Wakuu! Chama hakipaswi kuchekea mambo ya Rushwa au wanaotoa tuhuma kwa wenzao kwamba wanakula Rushwa. Lazima chama kichukue hatua ikiwezekana kuwavukuza uanachama Rushwa kwa vyama Makini...
14 Reactions
63 Replies
2K Views
Wakuu, Tanzania ndio nchi pekee ambayo mtu anapata madaraka kwanza alafu mafunzo yanafuata baadae =========================================================== Wizara ya Katiba na Sheria imetoa...
0 Reactions
0 Replies
246 Views
Mbeya shida ya maji ni kubwa kuliko wanasiasa wanavyojua. Labda Kipindupindu ndiyo kitawaumbua. Pamoja na miradi mikubwa Mbunge Tulia ameileta Mbeya ukweli mradi wa maji umechelewa. Watu watakuwa...
0 Reactions
1 Replies
368 Views
Back
Top Bottom