ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,060
- 49,744
Mbunge wa Same Mashariki Anne Kilango Malecela amevitaka Serikali kutilia uzito mkubwa swala la Ukatili wa Kijinsia wanaofanyiwa wanawake kwenye nyanja mbalimbali kuanzia majumbani Hadi kwenye siasa.
Anna ametolea mfano wa jinsi alivyochomwa na Pasi ya moto mgongoni na mume wake ambae alimuacha na kwenda kumchafua kwenye mambo ya kampeni Ili aonekane hafai Kugombea,jambo ambalo lilipelekea kwenda kujibu mashambulizi Kwa kielezea kilichojiri.
My Take
Naunga mkono hoja,Ukiachwa achika tusilazimishane.
Serikali iwe inawachukulia hatua Kali watu wote wapuuzi hasa wanaume ambao Huwa wanalazimisha mapenzi au kupendwa hata baada ya kuachika.cc Dr.Mapenz &Co.
Anna ametolea mfano wa jinsi alivyochomwa na Pasi ya moto mgongoni na mume wake ambae alimuacha na kwenda kumchafua kwenye mambo ya kampeni Ili aonekane hafai Kugombea,jambo ambalo lilipelekea kwenda kujibu mashambulizi Kwa kielezea kilichojiri.
My Take
Naunga mkono hoja,Ukiachwa achika tusilazimishane.
Serikali iwe inawachukulia hatua Kali watu wote wapuuzi hasa wanaume ambao Huwa wanalazimisha mapenzi au kupendwa hata baada ya kuachika.cc Dr.Mapenz &Co.