Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,916
- 6,526
Huyu ni mkuu wa wilaya huko Shinyanga, amejitoa kuhakikisha mabinti wote waliochaguliwa kuendelea na 'high school' wanawasili mashuleni.
Sasa kuna baadhi hawajawasili shule walizochaguliwa. Hivyo ameamua kuwasaka nyumba kwa nyumba. Kwa madai yake anasema mabinti hao wanatarajia kuolewa hivi karibuni badala ya kuendelea na elimu.
Je, maamuzi yake hayo ya kuwalazimisha mabinti hao kuacha kuolewa na kuendelea na shule ya upili yako sahihi?
Sasa kuna baadhi hawajawasili shule walizochaguliwa. Hivyo ameamua kuwasaka nyumba kwa nyumba. Kwa madai yake anasema mabinti hao wanatarajia kuolewa hivi karibuni badala ya kuendelea na elimu.
Je, maamuzi yake hayo ya kuwalazimisha mabinti hao kuacha kuolewa na kuendelea na shule ya upili yako sahihi?