Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Baadhi ya Wadau waliohudhulia uzinduzi wa shina jipya la Luton wakiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti Tawi la UK, Maina Owino. Watanzania wengi walifurika Jiji la Luton Uingereza na...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Baraza kuu la Idd litafanyika kwenye ukumbi wa Kimataifa wa Nyerere Convention Centre, Posta. Kuanzia Saa 8 mchana. Eid Mubarak.
2 Reactions
9 Replies
544 Views
Nimesoma habari ya mbunge wa Rorya kulilalamikia jeshi la polisi Rorya eti linashirikiana na majambazi!. Hakuna asiyejua kuwa Lameck anachokipenda ni kuiweka mfukoni dola, hapo unakuwa rafiki...
4 Reactions
91 Replies
19K Views
Rais Samia ametengua uteuzi wa katibu tawala wa mkoa Lindi ndugu NGUSA SAMIKE. Naona mama anatupa jongoo na mti wake kabisa.
5 Reactions
134 Replies
22K Views
Rais wa Burkinafaso Bwana Ibrahim Traore ameamua kuwaongezea mshahara walimu na madaktari nchini kwake Burkina Faso huku akiwa ameshusha mishahara ya wabunge wa nchini humo. Maoni ya mdau...
24 Reactions
51 Replies
3K Views
Oyaaa oyaaa ni aibu kwa Timu Mbowe... Katibu Mkuu siakataka Wajumbe wapendekeze nani anakuwa mwenyekiti. Timu Mbowe wakapendekeza DICKSON MATATA. TIMU LISSU Wakapendekeza FRANK MWAKAJOKA. Soma...
25 Reactions
107 Replies
8K Views
Imefikia mahali ambapo viongozi wa upinzani, viongozi wa kidini, taasisi za kijamii za ndani na nje, ofisi za ubalozi, watu binafsi mmoja mmoja au kama vikundi, nk, wakatamka jambo lolote kama...
17 Reactions
29 Replies
1K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kinafuatilia kwa karibu na kinafanya uchunguzi wa kina juu ya tuhuma zinazosambazwa mitandaoni kuhusu madai ya kupigwa kwa Mratibu wa Uenezi wa...
7 Reactions
132 Replies
6K Views
Nimesikitishwa na taarifa hii ya Chama ,pamoja na kutolewa kwa kuchelewa sana ,masikitio yangu yanatokana na mambo yafuatayo; 1. Chama hakikuona haja ya kulaani tukio la kiongozi wa wanawake...
4 Reactions
56 Replies
3K Views
Soma mwenyewe uone toka a/c yake huko X...... Umezoea kusema uongo sana na ndio imekuwa silaha yako mara zote kushambulia watu na kuwafanyia bullying ili wakae kimya . Kwa taarifa yako siku za...
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Katibu Mkuu mpya wa NCCR-Mageuzi, Evaline Munisi, amesema chama hicho kipo tayari kushinda katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu kwa nafasi za Rais, wabunge na madiwani, huku kikidhamiria kukiondoa...
0 Reactions
26 Replies
1K Views
Ushahidi: 1. Pitia threads karibu zote hapa JF; hususani zile zitokazo kwa wanaojifanya kuichukia, utakuta wanaitaja ccm Kila baada ya maneno manne au matano.......huu ni u-CCM. 2. Mbio za...
4 Reactions
18 Replies
773 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche, ameendelea kushambulia vikali kauli ya Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos...
0 Reactions
0 Replies
360 Views
Nimejikuta nacheka utafikiri nimecheka kwa mazuri,ukikuta unamsifia baba wa mwenzio kutunza familia yake vizuri na kusimama kwenye nafasi yake kama kiongozi wa familia, basi kwa vyovyote ni matusi...
1 Reactions
5 Replies
317 Views
Bakwata wakati wanatuizia Uoga, kule Kenya Waslama wamesema endapo mpango wa kuwaongezea mishahara Wabunge utatekelezwa basi wataingia Barabarani. kwa kifupi wamechoka kuona raia wakiwa masikini...
0 Reactions
0 Replies
372 Views
Kupunguzwa kwa misaada rasmi ya maendeleo, hususan kutoka kwa nchi kama Marekani, kumeathiri pakubwa shughuli za Shirika la Afya Duniani (WHO) na miradi yake, ikiwemo ile inayohusiana na afya ya...
2 Reactions
2 Replies
453 Views
Wananchi wa Kanda ya Kaskanini mwa Tanzania wanashangazwa na matukio yanayoendelea katika eneo hilo, hususan kuhusu ziara ya Katibu Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla. Wanauliza...
1 Reactions
2 Replies
427 Views
Kwa mfano, leo nimemsikia Mkuu wa Mkoa wa Tabora akiahidi Tshs Milioni 60 kwa wachezaji wa Tabora kuelekea mchezo wao dhidi ya Yanga. Huu ni mfano mmoja tu miongoni mwa mingi ya namna hii. Swali...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Nimekutana na hii clip mitandaoni na kuisikiliza na kama ni ya kweli basi ndiyo maana CCM huwa wanaiba mali za umma. Kwenye Clip anaonekana Pereira Ame Silima akituhumiwa kuiba vitu toka kwa mke...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Wapi kwenye afadhali? Mbona kila mahali ni majanga?? Mwisho wa siku mwananchi ndio anabeba mzigo wote huu. Halafu mazwazwa yako busy kusema tano tena. Shame.! Credit: Maudhui ni Malisa G.J
14 Reactions
120 Replies
4K Views
Back
Top Bottom