Prof Issa Shivji anesema hana Imani na vyama vya Upinzani Kwa sababu siyo mbadala wa CCM na havina Uwezo wala morali wa kuitoa CCM Madarakani
Naye Generali Ulimwengu amemuunga mkono Kwa kusema...
Kuna tetesi kuwa tangu jana ofisi za Uhasibu Chadema zinaandaa Ripoti za CAG Kwa Miaka yote ya Uongozi wa Mh Freeman Mbowe Ili kukata Fitna na uzushi wa mgombea mwenzake
Aidha imedaiwa Mbowe...
Freeman Mbowe ametusimulia yeye mwenyewe kwamba Shujaa Magufuli alimuahidi Kila aina ya cheo lakini alikataa. Baadae akatuhumiwa Kwa ugaidi na akaachiliwa kabla Kesi haijafika Mwisho na kuingia...
Habari za Leo.
Hakuna kitakachomfanya Lisu aendelee kubaki CHADEMA.
Lisu anagombea uenyekiti ili aisafishe CHADEMA Hasa kwenye Safu ya juu ya uongozi ambayo anaishutumu imechafuka kwa Rushwa na...
Kwa mujibu wa kura za maoni zilizo fanywa na Jambo online TV matokeo yapo hiv:
Watoa maoni: 12,148
Tundu Lissu kapata kura 10,204 sawa na 84%
Freeman Mbowe kapata kura 1,944 sawa na 16%.
Haya...
Wakuu,
Lissu amesema akiwa Ubelgiji hawa ni watu wa kwanza kabisa kuonesha uongo wa maridhiano na waliupinga kwa nguvu zote, nao ni Msigwa, Wenje, Lema, na Gaston.
Kipinga kwao maridhiano hayo...
KWA NINI MBOWE HATAKI KUACHIA UENYEKITI WA CHADEMA
Mbowe ni Mwanachama pekee asiye na hasara ndani ya CHADEMA na mnufaika Mkuu japo wengi hawaoni kwa macho ya kawaida na anatumia mbinu zifuatazo...
Ifike mahali tuwaache wapasuane wavuane nguo hawa ni genge la wahuni,
Genge la watu wasio na busara je hii vita ya maneno ni uenyekiti tu au kuna jengine limejificha,
Lissu yupo kwenye koma ya...
Ni wazi Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unafuatiliwa zaidi na viongozi wa CCM kuliko Wanachadema wenyewe
Dkt. Kigwangalla amechachamaa ukurasani X akidai Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa...
Mambo yanazidi kupamba moto, wabunge 19 wa CHADEMA nao wameamua kuungana na gwiji la siasa za upinzani Tanzania mh. Freeman Mbowe, huu ni ushindi mkubwa kwenye kambi ya Mh. Mbowe kutokana na...
Mmoja ya wakufunzi wangu Mis Pam Overend juzi alinifunza mada ngumu sana katika uwanja wa mapambano (Module: Psychology GCSE). Alisema uwanja wa mapambano haumilikiwi na mtu mmoja au kikundu...
Nimeona mtanange wa Mbowe vs Lisu unaelekea kuwa personal hasa baada ya Mbowe kumwita mwenzake Mbangaizaji
Tundu Lisu ni Mwanahistoria unapoingia kwenye Vita Binafsi na Watu wa aina hii yakupasa...
Chadema imetangaza Uzinduzi wa Album yao utafanyika tarehe 09/01/2025
John Pambalu ambaye ni mjumbe wa kamati kuu anesema Ukurasani X
Uzinduzi utaongozwa na MC Mwingira Mikocheni HQ viongozi...
WAZIRI KOMBO APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA MWAKILISHI MKAZI WA UMOJA WA MATAIFA NCHINI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thatib Kombo amepokea Hati...
Mwakani ni kula wali tu, ugali kama wote, halafu mtu aniambie niandamane nikapigwe rungu, huo wali ntaulaje?
Mimi hapa nimemaliza katiba ya maisha yangu, hiyo nyingine haiwezi niletea wali...
Mbunge Nape Nnauye ametoa yake ya moyoni kwa kuhoji vyama vya siasa na wanasiasa Tanzania wanajifunza nini kufuatia mchakato wa uchaguzi ndani ya chama tawala cha (ANC) uliofanyika Afrika Kusini...
Ndugu zangu kwenye jambo lolote unalofanya hutafanikiwa bila kuomba ndugu zangu.
Fanya hilo jambo unalofanya lakini omba sana.
Kila unaye mwona amefanikiwa katika jambo fulani anaomba sio...
Ndugu zangu Watanzania,
Mheshimiwa Nape Moses Nnauye ambaye ameshika nafasi mbalimbali ndani ya CCM na serikali kuanzia ukuu wa wilaya,Mwenezi wa CCM Taifa pamoja na UWaziri .
Ameibuka kibabe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.