Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

https://youtu.be/xJtsdnZJKSk?si=4MdoQtu6CK7c2qtz Dogo anasema tatizo ni uongozi wa nchi na rushwa. Badala ya machawa kuongelea haya na kurekebisha wanaongelea Lissu na Chadema kila siku...
2 Reactions
9 Replies
613 Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema Serikali zake hazitohofia wala kuacha kukopa kwenye Taasisi za Kimataifa za Fedha na Benki ya Dunia kwa minajili ya kutekeleza shughuli za miradi na ujenzi wa...
1 Reactions
7 Replies
509 Views
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Kwa sasa (Machi 2025), Mradi wa JNHPP unazalisha jumla ya Megawati 1880 ambazo zimeongezwa kwenye Gridi ya Umeme ya Taifa. Baada ya mashine zote tisa...
2 Reactions
2 Replies
424 Views
Hali iliyojitokeza 2024 kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kupelekea kuwepo na malalamiko mengi sawa na yale ya2019/2020 ilisababishwa na nini? Maana haya yametokea katikati ya maboresho...
2 Reactions
8 Replies
434 Views
https://youtu.be/5eOakl1l_IE?si=gZ5mslJf7YS3AY9i ➡Huyu ni Mchungaji Dickson Kabigumila akitoa unabii kwa matukio ya kisiasa yatakayotokea ktk miezi mitatu ijayo... ➡Anasema ktk miezi mitatu...
9 Reactions
24 Replies
1K Views
HILI NDIO JUKUMU PEKEE WALILOJIPA GENERATION SAMIA Mkurugenzi na Mratibu Taifa wa Taasisi ya Generation Samia, Omari Kimweri Kibanga, amesema kuwa jukumu kuu la taasisi hiyo ni kuyaunganisha...
1 Reactions
2 Replies
378 Views
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinaingia kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba, 2025 kikijivunia utendaji kazi wa Rais Samia Suluhu Hassan. Kimesema kuwa kazi kubwa ya utelekezaji wa Ilani ya...
1 Reactions
8 Replies
538 Views
Ukiangalia line progressive ya deni, ndani ya miaka 4 Samia ameweza kukopa fedha nyingi kuliko awamu zote. Over 50% as last update of march 2021 Viongozi wa CCM, machawa wa CCM. na Vijana...
7 Reactions
49 Replies
2K Views
Aliyekuwa Katibu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya Lucia Sule amefariki Dunia Usiku wa Machi 31, 2025 akiwa anaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali...
4 Reactions
52 Replies
3K Views
Ndugu Mufti Zubeir Kwa muda mrefu umezungumzia sana suala la amani nchini lakini huwa huzungumzii Haki, Pamoja na ujumbe wako wa amani hata hivyo kutokuzungumzia haki kunaufanya ujumbe wako...
10 Reactions
23 Replies
1K Views
Tanzania Imeandika Historia Kwa Kuanza Kufanya Upasuaji Wa Ubongo Kwa Kutumia Akili Unde. Serikali ya Tanzania kupitia Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeanza rasmi upasuaji...
1 Reactions
1 Replies
289 Views
Kama wewe uko ndani ya CCM na unategemea kupata vyeo au kuwa mkubwa huko mbeleni eti kwa kuwasifia Viongozi wako na kuwatukana Viongozi wa upinzani,basi sahau,maana utakuwa kama Lucas Mwamshamba...
3 Reactions
10 Replies
527 Views
Aliyekuwa katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibrod Slaa amerejea rasmi CHADEMA na ametangazwa katika mkutano wa hadhara Mbeya leo Jumapili Machi 23, 2025...
31 Reactions
127 Replies
8K Views
Niliwai kupitia ukurasa huu kuandika yakuwa inawezekana Tanzania tuna usalama wa taifa wanao hisi yakuwa viongozi tulio nao kupitia chama Cha mapinduzi ndio usalama wa taifa au ndo rasrimali ya...
24 Reactions
98 Replies
6K Views
Nawasalimu nyote hapa JF. Niende Moja kwa Moja kwenye mada tajwa hapo juu hasa inayowahusu baadhi ya viongozi wetu wa dini waliokaririwa na vyombo vya habari wakiwaonya waumini wao kuhusu ajenda...
0 Reactions
0 Replies
209 Views
Kwa vitendo vyake Je Raisi Samia ni mkweli au Muongo. Wengi wanalalamika kwamba anayesema anasema kisiasa kuanzia 4R ni uongo, chaguzi huru ni uongo, Ripoti za mauaji ni uongo. Je ni kitu gani...
4 Reactions
12 Replies
691 Views
1. Kukosa Uwazi na Uwajibikaji wa Viongozi: Wananchi wanaposhuhudia viongozi wa CHADEMA kutokuwa na uwazi katika utendaji wao au kushindwa kutoa maelezo ya kina kuhusu mikakati yao, wanapoteza...
4 Reactions
51 Replies
3K Views
Walimu ni watu muhimu lakini umuhimu wao unazidi kupotea siku hadi siku. Kwani wamekuwa ni daraja la wanasiasa pindi wanapotafuta maslahi yao. Ikumbukwe kwamba waalim ni watu muhimu katika...
5 Reactions
16 Replies
724 Views
Rais Ruto amekiri uwepo wa genge la Utekaji nchini kwake na kulivunja Leo rasmi. Tazama video
10 Reactions
78 Replies
3K Views
Kumekuwa na msuguano mkali sana kati serikali iliyopo madarakani na Vyama vya Upinzani. Vyama vya Upinzani vimekuwa vikilalamika kuwa vimehujumiwa sana hasa kwenye chaguzi za mwaka 2019, 2020 na...
6 Reactions
13 Replies
759 Views
Back
Top Bottom