Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kumpa mtu Cheo cha kuhudumia Wananchi kama masharti ya kuhama Chadema na kutukana viongozi waliomuokota porini na kumuingiza kwenye siasa, hakuwezi kuleta viongozi wenye weledi. Peter Lijuakali...
12 Reactions
28 Replies
1K Views
Tundu Lissu ambaye pia ni mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa, ametoa wito kwa Freeman Mbowe, kueleza kwa uwazi kuhusu madai ya kutumia mabilioni ya fedha ndani ya chama...
2 Reactions
12 Replies
840 Views
Sidhani kama wewe ni tishio kubwa kasi hicho, sidhani aslani! common sense negates that ! Ana njia nyingi za kuku silence, si kupitia Wenje na Abdul! Kwa maoni yangu kama anakuona ni threat, a...
7 Reactions
95 Replies
3K Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa; Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza na Naibu wake, Adam Malima, wameshindwa kazi...
0 Reactions
51 Replies
9K Views
Kufatia kuwepo kwa kero ya muda mrefu ya maji katika wilaya ya Biharamulo moani Kagera, serikali imetenga Zaidi ya shilingi Bilioni 70 kwaajili ya kuanza ujenzi wa maji kutok ziwa Victoria. Kauli...
0 Reactions
0 Replies
257 Views
Pope Francis posing with President Samia for a photo I. Abstract "Since the Church is present across the different stages of the election process, readers might wonder whether it is permissible...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria amekiri Yeye ndiye alimfuata Abdul na kumuomba amsaidie Tundu Lisu Hata Lisu alisema Abdul alimwambia " nasikia una shida na unataka tuonane" Kisha Lisu...
1 Reactions
10 Replies
409 Views
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Martha Nehemia Gwau amekabidhi majiko ya Gesi 60 kwa wanawake wa Halmashauri ya Wilaya ya Singida na Wilaya ya Ikungi Disemba 21,2024 Ikiwa ni...
0 Reactions
0 Replies
483 Views
Haya ni maneno ya Tundu Lissu “nilimwambia Abdul anisaidie kupata malipo yangu na nikampa documents,angefanikiwa angekuwa rafiki yangu” Huyu ndio wafuasi wake wanasema ni mkweli kanyooka...
15 Reactions
79 Replies
3K Views
"Mwenyekiti wetu Freeman Mbowe Freeman Mbowe amezungukwa na kundi la watu ambao wamejijengea umangi meza. Bahati mbaya ni kwamba Mweyekiti ni mwepesi wa kupokea fitina na majungu na wakati...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Wakuu, Wilbroad Slaa amuunga mkono Lissu kugombea nafasi ya Uenyekiti CHADEMA. Pia soma: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA Asema CHADEMA na Watanzania wanamhitaji...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Hellow !! Tatizo la ajira nchini ni kubwa, Si vyema nafasi iliyoachwa na Mzee Kinana iendelee kuwa wazi Hadi sasa, Mtaani kunajengeka taswira mbaya kwamba tatizo la ajira nchini halizingatiwi...
2 Reactions
26 Replies
1K Views
Inawezekana Freeman Mbowe amejiunga na CCM indirectly kutokana na his selfish ambition ya kutaka kuwa Mwenyekiti wa milele chadema. Amekubali vipi kumpotezea Lema, Msigwa na Lissu vipi Halima...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Anaitwa Abiud Pallangyo mtoto wa mpigania uhuru namba moja kanda ya kaskazini. Amesema sasa imetosha na kutamka hadharani kuwa Mbowe ni mwizi na kibaka aliyepokea rushwa kutoka kwa Mama Abdul...
5 Reactions
104 Replies
6K Views
Badala ya kujikita kushambulia maridhiano ni vyema Tundu Lissu aeleze sasa atafanya nini akichaguliwa kuwa mwenyekiti ikiwa aina ya chaguzi zilizofanyika 2019, 2020 na 2024 zinaendelea. Ikiwa...
2 Reactions
13 Replies
534 Views
Kesi ya Chenge ambaye aliuuwa wasichana wawili kwa kuwagonga na gari huku wao wakiwa kwenye bajaj usiku wa manane. Lakini ukweli ni kuwa mkewe Chenge alikuwa akimfuatilia mume waku usiku huo na...
0 Reactions
64 Replies
7K Views
Nchi ya Mozambique imeamua kuteka biashara ya Usafirishaji Kwa njia ya Maji Kwa Nchi zote za Sadc na kuiachia Tanzania maumivu makubwa. Katika kutekeleza Hilo, Mozambique wameamua kuikodisha...
28 Reactions
238 Replies
11K Views
Mbunge wa Jimbo la Mlimba, Godwin Kunambi, ametoa rai ya kulenga uwajibikaji kwa viongozi wa juu kama njia ya kudhibiti tatizo la rushwa katika taasisi za umma. Akizungumza bungeni jijini Dodoma...
0 Reactions
5 Replies
530 Views
Kwa sababu ameaminisha watu kuwa eye ni mkweli, anaongea hasta mambo ya vikao vya Kamati Kuu, anatuhumu wenzake kwa mambo ya uongo kabisa ambayo anajua kabisa kuwa anawachafua wenzake ili kujenga...
0 Reactions
0 Replies
238 Views
1. Inawezekanaje CHADEMA waamini kwamba FAM ndo mwenyewe akili kuliko wote ndani ya chama? 2. Inawezekanaje CHADEMA waamini kwamba bila FAM chama kimekufa? 3. Inawezekanaje CHADEMA waamini...
0 Reactions
0 Replies
257 Views
Back
Top Bottom