Wakuu,
Uchaguzi huko CHADEMA umeendelea kupamba moto, watu wameendelea kujitikeza kutia nia.
Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Odero Charles Odero anatarajiwa kuchukua fomu ya...
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Mohammed Kawaida amemjibu aliyekuwa mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema akisema kazi ya usafirishaji abiria kwa kutumia...
Kiongozi (mkuu) wa chama ACT wa sasa anaitwa nani?
Tangu kuondoka kwa Zitto Kabwe kama kiongozi wa ACT sijawahi kumjua au kumsikia kiongozi wa hiko chama tena, sioni hata akihojiwa au akinukuliwa...
Kuna watu ambao ni haters wa SSH walitaka kujifichia kwenye Changamoto ya Dola Ili kutafuta Kisingizio Cha kuieulubu Serikali.
Walifika mbali zaidi wakidai Nchi imemshinda sijui upuuzi gani hata...
Tupo Hapa maeneo ya Mtambani karibu sana na Ufipa st na kichwa Cha Habari ndio ushauri wa ndugu zetu Waislamu Kwa Mh Freeman Mbowe aka Ustaadh Abubakar
Nawatakieni Sabato njema 😃
Miji ya Tanga, Kilimanjaro na Arusha ni kanda muhimu sana kiuchumi na kwa pamoja inachangia kiasi kikubwa cha pato la taifa kutokana na kilimo, biashara hasa ya madini, na utalii. Ukizingatia...
Uhusiano kati ya January Makamba, mtoto wa kinana na yule jamaa wa text za kichochezi na chuki dhidi ya wakatoliki Tanzania nzima, kabila la wachagga, na wakazi wa mikoa ya kaskazini (ajulikanaye...
Leo mgefikiria mtu Kama Mbowe kukataliwa na kila mtu .
Hii ni weak up call kuwa katika kila kitu kuna majira yake .
Hivyo ikifika wakati wa Ccm kuondoka wataondoka .
Ni swala la muda tu.
Mheshimiwa Rais, Shikamoo.
Pole na hongera kwa majukumu mazito ya kujenga Taifa.
Nakuandikia andiko hili kukuomba kwa heshima na taadhima kubwa kwamba , Mheshimiwa. Tafadhali, Tafadhali sana...
Mheshimiwa Lissu ameweka na kufafanua kwa kina sera zake ikiwa atashinda uwenyekiti wa CHADEMA
1. No reform no election. Hakuna kumchekea Samia wala CCM
2. Kuwe na ukomo viti maalumu bungeni
3...
Hakuna namna Mbowe anaweza kumshinda Mh.Lissu zaidi ya kununua wajumbe na kuiba kura. Wajumbe wengi wameonyesha kutokubali Mbowe kujimilikisha chama.
Kama huyu mtu amekosa aibu kabisa basi na...
Baadhi ya Wanachadema hawafahamu kuwa, Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi ndani ya @ChademaTz chini ya Kikundi kinachojiita Sauti ya Watanzania ambacho ndani yake kuna Wanaharakati wa ndani...
Tanzania tunabidi kuwa makini.
MTU aliyepata zero form six kumuachia taasisi kubwa iwe chini yake ni hatari sana, lazima atakuwa mpiga dili.
Kuna na mwingine alikabidhiwa hadi Cheo na kiongozi...
Kama lissu atagombea urais 2025 mchuano utakuwa mkali sana,ila mimi mama kura yangu ameshaipata...kuna raha sana kuongozwa na mama,kwanza ni mpole,ana busara,hana lugha mbovumbovu za vitisho..hana...
TAL anahaki ya kugombea. Lakini nawaibia siri kwamba akina Msigwa na kikundi chake ndio walimshauri TAL aache kugombea nafasi ya umakamu na agombee nafasi ya Mwenyekiti.
Na ndio maana unakuta...
Nimekuwa nikifiatilia kauli za Lissu mara kadhaa na kujikuta nabaki na mshangao mkubwa.
Lissu mara kadha amekuwa akiwashambulia viongozi wenzake ndani ya chama bila ushahidi wenye mashiko...
Hizi kete zinazo sukumwa kipindi hiki kuelekea uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema zimekaa kimtego sana.
Yawezekana mzee mbowe ameingizwa kwenye mtego na yeye amezama mazima.
Hii ndio karata muhimu kwa...
Ndugu zangu Watanzania,
Tenda Wema nenda zako na wala usisubiri shukurani,ni bora Umfadhili Mbuzi kuliko Mwanadamu.Duniani hapa Watu wanaumizwa na Wameumizwa sana na watu wale wa karibu sana...
Baada ya Wadau mbali mbali wa siasa kujitokeza hapa JF na kwingineko, ili kutoa maoni yao kuhusu Wagombea wa Uenyekiti wa Chadema, Wakiwemo Tundu Lissu na Freeman Mbowe, na mimi najitokeza leo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.