Serikali kupiga marufuku mauzo ghafi ya madini ya kinywe(Lithium) kuanzia Mei 2024. Yawataka wawekezaji kujenga viwanda nchini

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,109
49,812
Taarifa iliyonukuliwa na jarida la The Africa Report ikinukuu Barua ya Wizara ya Madini inasema kuanzia May 2024 ni marufuku Kwa Wawekezaji kufanya exports ya Madini ghafi ya Lithium.

Tanzania inaungana na Nchi zingine za Afrika kama Zimbabwe, Namibia na Zambia katika initiative hii Ili kupata Value for money ya uwekezaji wa Madini haya adimu na ya teknolojia Mpya Duniani.


View: https://twitter.com/TheAfricaReport/status/1720166389342777351?t=o0YerBpJIYkTdAZYc2xseg&s=19

My Take
Hongera Serikali ya awamu ya 6 Kwa ujasiri huu.Huu uwe Mwanzo tuu Kwa Serikali kuhakikisha Madini mengine kama Dhahabu maana viwanda vipo na Madini na Madini mengine yote yatakayogundulika baadae.
 
Tanzania kuwa na wimbi kubwa la jobless pamoja na poverty ni kupenda tu, tupo na abundant resources ila utilization ndiyo bado ni poor, creativity poor, technologically still poor, bureaucracy is very common, individual interests is common.

I hope that God on heaven is lounging on us when he watches us.
 
Tanzania kuwa na wimbi kubwa la jobless pamoja na poverty ni kupenda tu, tupo na abundant resources ila utilization ndiyo bado ni poor, creativity poor, technologically still poor, bureaucracy is very common, individual interests is common.

I hope that God on heaven is lounging on us when he watches us.
Sio Tanzania ni Afrika yote ,hatuna akili
 
Sio Tanzania ni Afrika yote ,hatuna akili
Akili tunazo ndiyo maana watu huwa wanahoji sana kuhusiana na rasilimali zao, tatizo ni mifumo kandamizi iliyopo katika nchi zetu za kiafrika, katiba nyingi za nchi zetu zinawalinda wenye mamlaka katika dola ambao sio waaminifu kwa wananchi wao, unadhani hawa viongozi hawajui kuwa tunapoteza rasilimali zetu na kuongeza janga la umasikini na kupoteza faida zetu zinazoyokana na rasilimali zetu?

Wanajua kila kitu tatizo ni maamuzi na maslai binafsi.

Ukiwa nje ya serikali matatizo ni mengi na njia za kuyatatua utaziona ila walioko ndani ya serikali wanajifanya vipofu na viziwi ili kulinda ofisi zao na kula yao, na kama ukijifanya hauendi sawa na wao watakutoa kwenye mfumo.
Kwani Ndugai yupo wapi??
 
Tanzania kuwa na wimbi kubwa la jobless pamoja na poverty ni kupenda tu, tupo na abundant resources ila utilization ndiyo bado ni poor, creativity poor, technologically still poor, bureaucracy is very common, individual interests is common.

I hope that God on heaven is lounging on us when he watches us.
Ummy Mwalimu, Mwigulu, Mbarawa, Bashe, Kijaju, Makonda, Jafo, Aweso, Nape unategemea watakuwa na creativity ipi?
 
Akili tunazo ndiyo maana watu huwa wanahoji sana kuhusiana na rasilimali zao, tatizo ni mifumo kandamizi iliyopo katika nchi zetu za kiafrika, katiba nyingi za nchi zetu zinawalinda wenye mamlaka katika dola ambao sio waaminifu kwa wananchi wao, unadhani hawa viongozi hawajui kuwa tunapoteza rasilimali zetu na kuongeza janga la umasikini na kupoteza faida zetu zinazoyokana na rasilimali zetu?

Wanajua kila kitu tatizo ni maamuzi na maslai binafsi.

Ukiwa nje ya serikali matatizo ni mengi na njia za kuyatatua utaziona ila walioko ndani ya serikali wanajifanya vipofu na viziwi ili kulinda ofisi zao na kula yao, na kama ukijifanya hauendi sawa na wao watakutoa kwenye mfumo.
Kwani Ndugai yupo wapi??
Mtu anaamka asubuhi V8 full tank lipo nje linamsubiri limpeleke ofisini akaibe mali za wanyonge kisha jioni arudishwe, atabuni kitu gani? nafasi zote watu wafanye interview ndiyo tutapata watu sahihi
 
Mtu anaamka asubuhi V8 full tank lipo nje linamsubiri limpeleke ofisini akaibe mali za wanyonge kisha jioni arudishwe, atabuni kitu gani? nafasi zote watu wafanye interview ndiyo tutapata watu sahihi
Hakika, na pia kama itawezekana , watu wa takwimu wawabane hawa watu wapate mishahara yao kwa asilimia za utendaji wao, mambo ya kulipwa mwisho wa mwezi bila kupata report zao za utendaji ni kuwalea wanyonyaji, na ni embezzlement of public funds, na ni misuses of public offices.
 
Hakika, na pia kama itawezekana , watu wa takwimu wawabane hawa watu wapate mishahara yao kwa asilimia za utendaji wao, mambo ya kulipwa mwisho wa mwezi bila kupata report zao za utendaji ni kuwalea wanyonyaji, na ni embezzlement of public funds, na ni misuses of public offices.
Anayetakiwa kuwabana ndiyo anawatuma kwenye dili, utasubiri sn
 
Back
Top Bottom