Wakuu,
Inaonekana kwamba bado vyama vya upinzani vina imani na mchakato wa Uchaguzi nchini
==========
Vyama vya upinzani vimeitaka Tume Huru ya Uchaguzi kuhakikisha inasimamia misingi ya haki...
Nafahamu kuwa watu wengi wako nyuma yako na unapendwa sana lakini ukumbuke uchaguzi unaokuja utashindwa kwa mizengwe. Wewe kuubali yaishe na uendelee kuijenga CHADEMA.
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu atoa mapendekezo ya uchaguzi huru na haki katika ngazi ya chama hicho unaotarajiwa kifanyika mwezi huu wa Januari 2025.
Soma, Pia: Tundu Lissu achukua...
Watu Hawa hawazaliwi mara kwa mara na pengine Kila nchi huweza kupata mara Moja kwa miongo kadhaa
Sifa ya watu Hawa Huwa hawapendwi na waovu na pia hata wao wenyewe hufika pahala...
WanaJF,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Matukio kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Urais, Ubunge na Udiwani 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Simiyu. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya...
Heri ya Mwaka Mpya wanajukwaa!
Tuje hapa. Kumbe zile kelele nyingi za kudai kwamba kero za Muungano zimeanza kutatuliwa kwa kasi kumbe ilikuwa danganya toto. Mbona hii sasa ni tabu tupu...
Ni nani aliyemjua John Pombe Magufuli kabla ya mwaka 1995?
Hili ni swali muhimu sana kwa wale wanaofikiria na kufuatilia siasa za Tanzania toka enzi na enzi.
Ilikuwaje Mkapa akamteua kuwa mmoja...
Hata Freeman Mbowe sijamsikia akimsimanga hayati Magufuli zaidi tu utawasikia hawa sisimizi wa Ufipa st ndio wanarefusha midomo
Wazee walioaminiwa na nchi hii na kushika nafasi nyeti japo baadae...
Inawezekana kabisa kwamba magufuli alikuwa na madhaifu yake, na inaweza isiwe dhambi kumsema vibaya. Ila kwa watu wenye malengo ya kutafuta kura Kwa wananchi wa kawaida walipaswa kupotezea kabisa...
Hakuna mtu ndani ya system hajuwi Nini kilitokea na Nini kitatokea siku zijazo.
Hayati Magufuli amelala na hawezi rudi kuja kujitetea.
Kama alifanya kwa masilahi yake mtuambie kulebungeni...
Nimefuatilia Mahojiano ya Lissu, kuna Ile kipande ambapo anaongea vibaya kuhusu Magufuli, sasa nimesoma Comment zaidi ya 2000 katika Comment zote nimeshuhudia ghadhabu ya wananchi juu ya Lissu...
Kitabu cha AFRICA MAGUFULI AND CHANGE kilichoandaliwa na raia wa Malawi kwa lengo la kutambua mchango mkubwa wa kimaendeleo kwa bara la Afrika uliofanywa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano wa...
Binafsi ni mfuasi mkubwa sana wa Tundu Lissu, lakini kihistoria Ubelgiji haijawahi kuwa rafiki wa kweli wa Mashujaa wa Afrika
Ni nini kipo nyuma katika huu urafiki wa CHADEMA/Tundu Lissu na...
1. Team TAL wafuasi/mashabiki wake wanapima integrity na Ethics yake kwa kutumia KIWANGO CHA UKUBWA WA KUWALAUMU/KUWASINGIZIA/KUWABAGAZA WENZAKE KWENYE MAJUKWAA YA KISIASA kama aliyokuwa...
Lissu ameanza kampeni kabla ya wakati.
Kama sio huruma ya uongozi wa Chadema basi anastahili kukatwa jina lake maana ni mtomvu wa nidhamu na much know.
Lissu hufati sheria na kanuni za chama...
Hii ni kwa mujibu wa kiongozi mmoja wa chadema, tulimsikia akidai chadema kwa sasa haina fedha, hata za uchaguzi.
-Hekima ni uhairishwe ili pia bwana mbowe anusurike 😁😁😁
#savembowe
#helpmbowe...
Happy New year Wakuu!
Bado sina uhakika lakini uelekeo ni kuwa yawezekana kabisa Lisu na Magufuli walijikuta kwenye vita kubwa ya kupiganishwa pasipo ya wao kujua.
Wasiwasi wangu unaenda mbali...
Taarifa kutoka Chadema zinaeleza kwamba, Baada ya kushinda Kesi ya Uongo ya Mauaji waliyobambikiwa na Serikali ya CCM ili kuwakomoa, Wafungwa hao wa Kisiasa waliorundikwa Jela kwa miaka mitano...
Waziri wa Maliasili na Utalii,Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amesema Tanzania imepata fursa ya kuwa Mwenyeji wa Kongamano la Pili la Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii Duniani (UN ),Kanda ya Afrika...