Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu, Inaonekana kwamba bado vyama vya upinzani vina imani na mchakato wa Uchaguzi nchini ========== Vyama vya upinzani vimeitaka Tume Huru ya Uchaguzi kuhakikisha inasimamia misingi ya haki...
1 Reactions
2 Replies
557 Views
Nafahamu kuwa watu wengi wako nyuma yako na unapendwa sana lakini ukumbuke uchaguzi unaokuja utashindwa kwa mizengwe. Wewe kuubali yaishe na uendelee kuijenga CHADEMA.
0 Reactions
2 Replies
485 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu atoa mapendekezo ya uchaguzi huru na haki katika ngazi ya chama hicho unaotarajiwa kifanyika mwezi huu wa Januari 2025. Soma, Pia: Tundu Lissu achukua...
1 Reactions
5 Replies
885 Views
Watu Hawa hawazaliwi mara kwa mara na pengine Kila nchi huweza kupata mara Moja kwa miongo kadhaa Sifa ya watu Hawa Huwa hawapendwi na waovu na pia hata wao wenyewe hufika pahala...
5 Reactions
8 Replies
564 Views
WanaJF, Mada hii itakuwa na 'Updates' za Matukio kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Urais, Ubunge na Udiwani 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Simiyu. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heri ya Mwaka Mpya wanajukwaa! Tuje hapa. Kumbe zile kelele nyingi za kudai kwamba kero za Muungano zimeanza kutatuliwa kwa kasi kumbe ilikuwa danganya toto. Mbona hii sasa ni tabu tupu...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Ni nani aliyemjua John Pombe Magufuli kabla ya mwaka 1995? Hili ni swali muhimu sana kwa wale wanaofikiria na kufuatilia siasa za Tanzania toka enzi na enzi. Ilikuwaje Mkapa akamteua kuwa mmoja...
16 Reactions
113 Replies
20K Views
Hata Freeman Mbowe sijamsikia akimsimanga hayati Magufuli zaidi tu utawasikia hawa sisimizi wa Ufipa st ndio wanarefusha midomo Wazee walioaminiwa na nchi hii na kushika nafasi nyeti japo baadae...
8 Reactions
38 Replies
3K Views
Inawezekana kabisa kwamba magufuli alikuwa na madhaifu yake, na inaweza isiwe dhambi kumsema vibaya. Ila kwa watu wenye malengo ya kutafuta kura Kwa wananchi wa kawaida walipaswa kupotezea kabisa...
29 Reactions
203 Replies
7K Views
Hakuna mtu ndani ya system hajuwi Nini kilitokea na Nini kitatokea siku zijazo. Hayati Magufuli amelala na hawezi rudi kuja kujitetea. Kama alifanya kwa masilahi yake mtuambie kulebungeni...
23 Reactions
94 Replies
4K Views
Nimefuatilia Mahojiano ya Lissu, kuna Ile kipande ambapo anaongea vibaya kuhusu Magufuli, sasa nimesoma Comment zaidi ya 2000 katika Comment zote nimeshuhudia ghadhabu ya wananchi juu ya Lissu...
31 Reactions
122 Replies
5K Views
Kitabu cha AFRICA MAGUFULI AND CHANGE kilichoandaliwa na raia wa Malawi kwa lengo la kutambua mchango mkubwa wa kimaendeleo kwa bara la Afrika uliofanywa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano wa...
77 Reactions
252 Replies
20K Views
Binafsi ni mfuasi mkubwa sana wa Tundu Lissu, lakini kihistoria Ubelgiji haijawahi kuwa rafiki wa kweli wa Mashujaa wa Afrika Ni nini kipo nyuma katika huu urafiki wa CHADEMA/Tundu Lissu na...
4 Reactions
53 Replies
2K Views
1. Team TAL wafuasi/mashabiki wake wanapima integrity na Ethics yake kwa kutumia KIWANGO CHA UKUBWA WA KUWALAUMU/KUWASINGIZIA/KUWABAGAZA WENZAKE KWENYE MAJUKWAA YA KISIASA kama aliyokuwa...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Lissu ameanza kampeni kabla ya wakati. Kama sio huruma ya uongozi wa Chadema basi anastahili kukatwa jina lake maana ni mtomvu wa nidhamu na much know. Lissu hufati sheria na kanuni za chama...
7 Reactions
73 Replies
2K Views
Hii ni kwa mujibu wa kiongozi mmoja wa chadema, tulimsikia akidai chadema kwa sasa haina fedha, hata za uchaguzi. -Hekima ni uhairishwe ili pia bwana mbowe anusurike 😁😁😁 #savembowe #helpmbowe...
0 Reactions
1 Replies
262 Views
Happy New year Wakuu! Bado sina uhakika lakini uelekeo ni kuwa yawezekana kabisa Lisu na Magufuli walijikuta kwenye vita kubwa ya kupiganishwa pasipo ya wao kujua. Wasiwasi wangu unaenda mbali...
9 Reactions
57 Replies
3K Views
Tanzania’s President Samia promises clean elections in October
1 Reactions
2 Replies
450 Views
Taarifa kutoka Chadema zinaeleza kwamba, Baada ya kushinda Kesi ya Uongo ya Mauaji waliyobambikiwa na Serikali ya CCM ili kuwakomoa, Wafungwa hao wa Kisiasa waliorundikwa Jela kwa miaka mitano...
8 Reactions
49 Replies
2K Views
Waziri wa Maliasili na Utalii,Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amesema Tanzania imepata fursa ya kuwa Mwenyeji wa Kongamano la Pili la Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii Duniani (UN ),Kanda ya Afrika...
0 Reactions
1 Replies
333 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…