Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu, Ni bandika bandua, huku Askofu Bagonza kule Sheikh Ponda, yaani kuna watu huko vichwa vinawaka moto :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: ==== Sheikh Ponda ameandika haya kupitia...
2 Reactions
6 Replies
724 Views
Wasalaam Tukirejea katika hotuba ya Mwl Nyerere , wakati akizungumzia mapendekezo ya uwepo wa mfumo wa vyama vingi, anaelezea kwa kina dhamira ilikuwa ni kuwapa tahadhari CCM wasijikute wanaangia...
1 Reactions
15 Replies
678 Views
Ni mzalendo wa kweli Ni mpenda haki Ni mcha Mungu wa kweli... Lakini ni mzee wa rula.. Hapendi konakona Hangaikeni naye vizuri, atawafaeni huko mbeleni.. Nyie na wana wenu na vizazi vyenu Ni mtu...
6 Reactions
8 Replies
624 Views
Haya ni yale tuliyokuwa tumeyakosa: Kumaanisha tunachosema. Kwa hakika washikie hapo hapo Kila mpenda haki aliyepo hawezi kusita kuwa nasi: Mungu mbariki TAL, Mungu ibariki CHADEMA na...
5 Reactions
6 Replies
521 Views
Huku CHADEMA wakisusia Kanuni. Sherehe za Mei Mosi mwaka ndio wakat wa kusomba Kura za walimu, magnesium na wengineo.
1 Reactions
10 Replies
629 Views
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi amewaongoza wajumbe wa NEC alioongoza nao ziarani mkoani Mwanza na wanachama wa chama hicho mkoani humo wamemchangia Shilingi...
27 Reactions
168 Replies
9K Views
Ndugu zangu Watanzania, Katibu Mkuu wa CCM Mhessimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi katika muendelezo wa ziara zake anayoendelea nayo nyanda za juu kusini akiambatana na baadhi ya wajumbe wa...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Ratiba ya kampeni ikitoka vyama vishiriki uchaguzi pekee ndivyo vitaruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara Poleni CHADEMA hamtaruhusiwa sababu hamshiriki
3 Reactions
47 Replies
2K Views
Tangu kuchaguliwa kwa Lissu na kuja na Falsafa ya NO REFORM NO ELECTION sijaandika uzi hapa jamvini,Leo baada ya CHADEMA kutoshiriki utiwaji wa saini katika kanuni za Uchaguzi kitendo...
12 Reactions
18 Replies
1K Views
Kama mtanzania ambaye nimempigia kura Mheshimiwa Lissu mara mbili kwenye chaguzi zilizopita (jimboni na uraisi), naamini hajafanya kosa la uhaini na hayo ni mashtaka ni ya kutengeneza na hewa...
3 Reactions
38 Replies
2K Views
Katiba yetu ndiyo sheria kuu kuliko zote na kuwanhakupaswi kutungwa sheria inayokinzana na katiba. katiba inatoa ruhusa kwa raia kuchagua au kuchaguliwa, lakini ikatungwa sheria kuwa ili...
1 Reactions
15 Replies
771 Views
https://www.youtube.com/live/vLdO-z31bOY?si=DxKCHlFGEDmG6wWD In brief: ➡NO REFORMS, NO ELECTION is there na CHADEMA is a proper channel to carry it forward... ➡Katika chaguzi za 2015 kurudi nyuma...
3 Reactions
3 Replies
510 Views
Watanzania asilimia kubwa upinzani unatakiwa uwaelewe vizuri bila kuwaelewa waweza jipa shida bure Watanzania ukiitisha maandano ya upinzani wanakushangilia kwa nguvu kuwa wewe kidume hasa Sasa...
5 Reactions
22 Replies
764 Views
"The most potent weapon in the hands of the oppressor is the mind of the oppressed." — Steve Bi Msemo huu unasisitiza kuwa usababua wengi ziamke. Ninaumia sana
3 Reactions
8 Replies
845 Views
Wakati wa kampeni za vyama zitakapoanza mwezi July, vyama vitakavyoruhusiwa na kufanya mikutano ya hadhara ni vile vinavyoshiriki uchaguzi tena kwa ratiba maalum. CHADEMA iliyo nje ya uchaguzi...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Kitendo cha Chadema kukataa kushiriki kusaini kanuni za maadili uchaguzi 2025 ni ishara njema. Hii ni ishara kubwa kuwa hii sio Chadema ya waganga njaa ambo wapo kwa ajili ya matumbo yao. Kama...
6 Reactions
5 Replies
651 Views
Wakuu, Siglada kama Siglada, ila SISIEMU :KEKLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: haya sasa vikao vyote vitakuwa vinarekodiwa, mkileta maigizo watu wanawatolea kanda muwaoneshe steling alisimama...
0 Reactions
2 Replies
340 Views
Kama ni kweli huyu aliyewasainisha vyama vya upinzani kwelikweli vyenye nia ya kuiondoa CCM madarakani kanuni za maadili ya uchaguzi ni kada wa CCM na hii ndio tume huru ya uchaguzi basi itoshe...
6 Reactions
30 Replies
2K Views
Kama kuna mtu anadhani yupo kiumbe duniani anaweza kuisumbua serikali anajidanganya, makelele ya wanasheria kuwa haki itashinda cjui nn hayo ni maneno tu, kesi ya uhaini ni kesi ngumu sana kuliko...
6 Reactions
100 Replies
4K Views
Miaka kadhaa iliyopita nilisoma kitabu kimoja kilichokuwa na hadithi ya baba mwenye watoto 10, ambao kila mmoja alipoambiwa avunje fungu la vitiji 10 peke yake alishindwa ila pindi walipoambiwa...
1 Reactions
2 Replies
380 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…