CCM washangilia baada ya kuvunja kizimba cha CHADEMA

CCM washangilia baada ya kuvunja kizimba cha CHADEMA

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
27,637
Reaction score
62,527
Hizi ndo akili za CCM. Yaanni wenzao wanafanya mikutano, CCM wanamalizia hasira za kukataliwa kwenye vizimba.

CCM wana roho ya Uharibifu. CCM imeshashindwa siasa, imebaki kuwa kikundi cha Maovu
FB_IMG_1782034190704.jpg
FB_IMG_1782034182984.jpg

FB_IMG_1782040301121.jpg
 
Sasa kwa kufanya hivyo ndio ccm itazidi kupendwa au kuchukiwa zaidi??...watz kwa asili hawapendi uonevu so aliyefanya ujinga huo anazidi kuididimiza ccm matopeni!.
 
Hizi ni hasira za kukataliwa na wananchi.
Na ukiuliza aliyefanya hivyo utaambiwa ni wasiojulikana! Pia uelewa na ufahamu wa wanaccm upo chini sana.
 
Ccm wanaroho mbaya sana yani kama wanaishi milele vile daah sasa ingekuwa mfuasi wa chadema kafanya ivo bs hapo atajeshi la polisi lingetoa taarifa kwa umma ila kwa vile waliofanya ivo wao AINASHIDA kwao ila tutafika tu
 
Hizi ndo akili za CCM. Yaanni wenzao wanafanya mikutano, CCM wanamalizia hasira za kukataliwa kwenye vizimba.

CCM wana roho ya Uharibifu. CCM imeshashindwa siasa, imebaki kuwa kikundi cha Maovu
View attachment 3612383View attachment 3612384
View attachment 3612427
wako wapi hao wanaoshangilia hiyo nonsense gentleman?
au walikua wamekaa kwa wapi hapo? :pedroP:

ni wewe ndio umetengeneza hii artwork au ni yule jamaa mwingine wa create a problem and solve na kubecome a hero?

kiki na public sympathy zinatafutwa kwa tabu sana na kwnye mazingira magumu mno aise wadau wa jf dah :pedroP:
 
Back
Top Bottom